ukiona hivyo mtoto huyo, jibu rahisi subiri awe na ndoa ndo atatia akiliwewe inaelekea una muuza mboga mboga kitaani maana ulivyoshadadia mmh
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ukiona hivyo mtoto huyo, jibu rahisi subiri awe na ndoa ndo atatia akiliwewe inaelekea una muuza mboga mboga kitaani maana ulivyoshadadia mmh
Kaka mie ndio maana nlishaamua siezi kugombana kwa ajili ya mwanamke. Akiniboa tu, au akijifanya hard to play, nampotezea tu.Mimi imani na wanawake... :nono:
Cha ajabu ni kwamba huyo dada ni mzuri na wameoana kama mwaka hivi umepita ndoa bado changa na pia jamaa amemnunulia gari mkewe yaani ilikuwa maswali mtaa wote wanajiuliza huyu mama alikuwa anapata nini kwa yule mmachinga
sasa kama umeshaoa?
mashuhuda wa tukio wanasema kuwa yule mwenye mke alipoiona chupi pale sebuleni nguvu zilimwishia akaichukua akainusa sasa sijui alikuwa anasikiliza harufu ya bao?
I wanna be single forever!!!!