Unashangaa nn? Afadhali hao wameweza kujisitili at least ndani ya gari watu wanawakunja vichochoroni kweupeeeee! Hizi ni siku za mwisho wa dunia ww!!!!
Inategemea na sexual fantasy yao. . .siyo kwamba kufumaniwa kwenye gari ni kukosa pesa ya gesti, pengine wameshafanya sehemu nyingi na zimekua too monotonous(zimejirudia rudia) so kuongeza raha, imagine doing it in a RRS(Range Rover Sport)