Asprin
JF-Expert Member
- Mar 8, 2008
- 68,223
- 96,083
Kama kawaida, jana kwenye kikao chetu cha kupata kamvinyo mjadala mpya ukaibuliwa. Safari hii ulihusu maswala ya kufumaniana. Ilionekana katika maswala ya mapenzi hakuna kitu kinachouma kama usaliti. Na linapokuja suala la kuufumania usaliti huo live hali inakuwa mbaya zaidi. Kwamba lipi fumanizi linaloumiza zaidi kati ya haya:
1. Kwa Wanawake: Kumfumania mmeo/mpenzi wako anamegwa na mwanaume mwenzie au anammega mwanaume mwenzie au anammega mwanamke. Lipi linauma zaidi?
2. Kwa wanaume: Kumfumania mkeo/mpenzi wako anamegwa na mwanamke mwenzie au anamegwa na mwanaume. Lipi litakupandisha presha zaidi?
Nawasilisha
1. Kwa Wanawake: Kumfumania mmeo/mpenzi wako anamegwa na mwanaume mwenzie au anammega mwanaume mwenzie au anammega mwanamke. Lipi linauma zaidi?
2. Kwa wanaume: Kumfumania mkeo/mpenzi wako anamegwa na mwanamke mwenzie au anamegwa na mwanaume. Lipi litakupandisha presha zaidi?
Nawasilisha