Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aah wapi sio Analyse wewe huyu ana Mikasa yake very personal!Shusha vitu,, japo nilishaisoma fesibuku
Analyse wewe no hatari kinoma🤔2nd Portion:
...... Baada ya kuongeza sauti ya mziki, Maza house aliamua kujiachia. Miguno na sauti zikawa zinatoka. Nilipoona nakaribia kumaliza, nikamwambia tusogee mezani (huwa natumia mbinu hii kupooza mwili). Kufika mezani nikatanguliza kitambaa fulani kizito kikawa kinaning'inia upande mmoja, maana game za mezani, nikipump, mbupu zinamtindo wa kujigonga kwenye ukingo wa meza. Miguu yake nayo nikaipandisha juu ya meza, , akawa kama amechuchumaa juu ya ile meza, lakini visigino na makalio vyote vikawa vimegusa meza, nikagusanisha miguu yake, ikulu ikabana kimtindo,tukaendeleza mechi.
Pump kwa speed, kwa dakika chache, then nikajihisi nataka kumaliza, ikabidi niachanishe miguu yake ikulu nayo ikawa loose kimtindo, game ikaendelea. Hapo muda wote Maza house analalama tu "Asante, asante,tena, hapo, ndio" nk, ila nikawa kama simsikilizi, niko busy na yangu. Nilivyohisi amechoka, maana ile style aliyokaa ni ngumu kimtindo, nikamshusha miguu yake chini, then nikamuwekea mto juu ya meza karibu na kona, akalalia ule mto kwa tumbo, miguu ikawa chini. Mguu mmoja nikaacha uendelee kuwa chini vile vile, huu mwingine nikaupandisha juu kistuli cha plastic, so ukawa kama unaning'inia, tukaendeleza mechi.
Nilivyohisi nimeridhika sasa, tukahamia kwenye sofa ili kukamilisha mchezo wetu. Yule Maza house alinizidi uzito, na kamwili kangu haka kadogo, attempt za kumbeba zote nikawa nazikwepa [emoji28][emoji28][emoji28]. Tukakokotana hadi kwenye sofa, ni umbali mfupi tu, ila kwa uzito wake nisingemfikisha. Kufika pale akajibwaga mzima mzima. Lile sofa upande mmoja lilikuwa karibu na kingo ya ukuta ila halikufika mwisho, na upande wa kuegemea limegusa kabisa ukutani. So, alivyojibwaga kwenye lile sofa, nikamuweka upande upande, kichwa na miguu vikawa vimeegemea sehemu za kuweka mikono, ila hii miguu ikawa huu upande ambao sofa lipo karibu na ukingo wa ukuta, so ikawa inapata balance . Kwavile kiuno kilikuwa juu juu, nikamuwekea mito kwa chini walau asichoke haraka au kuumia, then nikazunguka ule upande ambao sofa halijagusa ukutani, nikaingia katikati ya miguu yake, kazi ikaendelea. Speed kidogo tu, game ikaisha. Maza house bado kafumba macho tu, Mimi najaribu kuvuta pumzi, huku naskilizia maumivu ya mbupu, maana japokuwa niliweka kitambaa kizito kwenye ile meza, still nilijiumiza. Kati yetu hakuna anayeongea, anasikika Simi tu kwenye kisabufa.
Hayo maelezo yote, kuna mtu anaweza akahisi ilikuwa show ya masaa kadhaa [emoji28][emoji28][emoji28], hakuna lolote, ilichukua kama dakika 45 au 50 tu kwa kukadiria process yote tokea amejilaza kitandani mpaka time hiyo tunamalizia kwenye sofa.
Baada ya ukimya kati yetu wa kama dakika 10 au 15, Maza house akajifunga kanga zake, akabeba chupi yake akatoka bila hata kunisemesha chochote. Nikalock mlango, nikaangusha.
Kesho yake siku nzima hatukuonana, maana niliwahi kuondoka na nikachelewa kurudi. Kwa siku tatu mfululizo ikawa ni hivyo tu. Siku ya nne nipo mishe mishe mida ya mchana,napokea msg namba ngeni "Uko wapi?". Nikaichek tigopesa, jina lililokuja silifahamu, nikiangalia madeni niliyonayo, nikaamua kukausha. Sijakaa sawa, ikaingia msg nyingine "Nakuuliza uko wapi?" Nikaona liwalo na liwe, nikaipandia hewani ile namba. Kupokea kumbe ni Maza house, nikamwambia sikuwa na namba yake hivyo sikujua ni nani ndio maana nilikuwa kimya, Maza house anacheka "kama unajijua muoga acha tamaa kijana,Mjini hapa". Aliongea kwa utani ila kauli yake ilikuwa nzito. Piga story mbili tatu, akaniambia namba yangu kaitoa kwenye ule mkataba wa chumba, blah blah za hapa na pale then nikamwambia nitamcheki baadae nikitoka.
* *** *****
Kuna mdau humu nimeona anashangaa ujasiri wa kutembea na mtu ambae ana watoto wapo chuo nimeutoa wapi. Nahisi assumptions zake amehisi Maza house atakuwa age imeenda sana. Huyu Maza house back then alikuwa in mid 40's (wakati lishangazi langu la kwanza lilinizidi karibia 25 years au zaidi kidogo [emoji28][emoji28][emoji28]), sijawahi kumuulizaga historia ya maisha yake ila nahisigi ni moja kati ya wale wanaoozeshwa wakiwa na umri mdogo sana, maana hata mtoto wake wa kwanza akisema akutambulishe kama mdogo wake, unaweza kukubali. Anyway, tuliache ili .
Nilivyotoka mishe, mawazo nusu yapo kwa Maza house, nusu yananiambia nimpotezee, maana nacheza na kifo. Kufika home nakuta faza house karudi. Ananiuliza "Vipi jombaa, maisha ya hapa unayaonaje? Kuna changamoto yoyote labda?" Nikamjibu hakuna tatizo Mzee, sikutaka kuongea nae sana maana nilikuwa najiskia vibaya, nikazuga zuga nikaenda gheto kwangu. Yani wanawake sijui wakoje, usiku Maza house akanitext usifunge mlango nitakuja, moyo ukalia pa. Nikaona huyu hanitakii mema. Nilikuwa najiandaa kucheki movie, nikazima tv na taa pale pale, nikawasha kisabufa changu, simu silent, nikalala. Mishale ya saa tano tano naskia mtu ananyonga kitasa cha mlango wangu, akaja dirishani kuita nikala buyu, akaondoka.
Nikawa najiuliza, huu ujasiri anautoa wapi huyu Maza? Mmewe mwenyewe ni bonge la jitu, hakuna namna ambayo naweza kumudu kupambana nae, yeye haoni ilo?
Asubuhi palivyokucha, niliwahi kuamka ili nichomoke kabla hajaamka, kumbe siku hiyo na yeye alikuwa anawahi kwenye jumuiya, tukakutana getini wakati wa kutoka. Sikuwa na jinsi, nikamwamkia, aliishia kunisonya na kusema "Hovyoo". Nikabaki nimesimama tu, yeye akaondoka.
Ikapita kama wiki moja hivi, hatupo in good terms, hatuongeleshani. Sasa ikatokea changamoto ya umeme kuisha haraka pale home, wapangaji wakawa wanalalamika mwenye nyumba akipewa hela ya umeme hanunui wote. So baada ya kikao, ikaamuliwa Mimi ndio nihusike na kukusanya hela za umeme toka kwa wapangaji wote (ikiwemo na mwenye nyumba), ikawa hivyo. Ila baada ya siku mbili nikapata safari ya ghafla, nikamuomba yule Binti mmoja wa Maza house namba yake, ili wapangaji wakiwa wananitumia tokens za umeme au hela, basi yule Binti anisaidie kuingiza kwenye mita. Sikutaka kumuomba Maza house maana nilikuwa najaribu kukwepa mazingira ya kuwasiliana nae kwa simu. Nilivyosafiri, kweli nikawa namtumia yule Binti tokens anajaza. Mazoea kati yetu yakaanzia hapo.Ikawa tunaweza kuchat hata maswala ambayo hayahusu tokens za umeme. Huyu Binti alikuwa muda mwingi yupo hostel kuliko pale nyumbani, hiyo ilipelekea tusionane mara kwa mara hata kama nipo home.
** *** ***** ******
Kipindi chote niko safarini, Maza house hakuwahi nipigia wala kunitext. Siku niliyorudi mjini, nikamkuta anafua yupo na wanae,ni kama alishtuka kuniona, ila hakusema chochote. Nikamsalimia, alivyoitikia, nikaelekea zangu gheto kwangu. Baadae nikatoka kwenda kutafuta msosi then nikarudi,nikawa nimejilaza nachek movie. Mida ya saa nne kuelekea tano, mlango wangu ukafunguliwa......
NmeJoke2 mkuuAah wapi sio Analyse wewe huyu ana Mikasa yake very personal!
Itakuwa ni onyo kuhusu binti wa maza house yule wa kutumiwa lukuPortion 3
jiandae kupewa Mambo
1---taarifa fupi afya yamumewe(ubovu wa uume nasababishi) jiandae kupokea
2---jiandae kuambiwa hutalipa Kodi Ila usije thubutu kuleta demu zako hapo
Onyo; sio zuri Sana kugonga wake zawatu
Mtafute ndo kazi zake hizoDaah hii thread
Imagine na wengine wameajiriwa tayari,Wahuni mnajikaza sana yaaani msela tu unakula mama anawatoto wapo chuo??mbona kwangu ka ngumu sana
[emoji1787][emoji1787] Nimecheka sanaMtafute ndo kazi zake hizo