Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Anatania....endelea Basi tupate Cha kulalia😁Atakuwa mgeni huyo
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]wewe ni jirani yangu pua na mdomo nyie[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Unanikumbusha keko juu hiyo, uwanja wa mchanga kwa mama jannet karibu n ccm opposite na twiga inn, aisee nomasadaaa
Nitag ukishusha mzigo
Leo nimeishia hapaSHETANI AMEWEKA KAMBI ANAWACHORA TU
Njoo chumban tuyajenge[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]wewe ni jirani yangu pua na mdomo nyie[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Bahati mbaya au nzuri sijawahi pay attention kuwa nimetumia muda gani. Hata ukiniuliza, nitaishia kukadiria.Mkuu mgegedo wa sas ultumia dkk chin ya 10 naona
Shetani anaagiza popcorn tuu, huku anaangalia members wake.SHETANI AMEWEKA KAMBI ANAWACHORA TU
Naifanya hii leo nione kama inafanya kazi mkuuBahati mbaya au nzuri sijawahi pay attention kuwa nimetumia muda gani. Hata ukiniuliza, nitaishia kukadiria.
Ngoja nikwambie kitu mkuu, siku ukiwa kwenye show alaf ukaona mkuyenge unapoteza connection(unataka kulala kutokana na sababu yoyote ile), chukua kidole chochote cha mkono wa kulia muwekee mdomoni au mwambie akinyonye, utakuja kunishukuru.
Usikubali kupoteza mechi uwanja wa home, hata ukipoteza, usicheze chini ya kiwango.
Haha!!Huwa sifugi kuchwa kwenye vidole vya mikono yote(nitanawa mikono[emoji1])Ila vidole vyako viwe visafi tu, usije mlisha mtoto wa watu uchafu. [emoji28][emoji28][emoji28]