Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwenye pita pita zangu tuPastor umefata nn huku? π π π
Ni hatari cuzo[emoji23][emoji23][emoji23]Daah hii thread
Pole ndio ukubwa huo[emoji23]Ahsante kwa kututia nyege mkuu....
DeepPond unapitwa na utamu
Nipo!Kusimulia na kuandika ni kipaji aseeeh. Nimekuwa mvivu,ila natamani nipate mtu nimsimulie yeye aandike
Ni mimi kabisa hapo nimefuga Hadid njiwa kwenye nyumba ya kupangaπππππππππHapo kwenye mpangaji kukaa sehemu mpaka akaanza kufuga nimecheka sana. Kuna jamaa yangu hapo mwanza kapanga mahali kafuga mbuzi kama 60 nilivyoenda kwake nilicheka sana anajiita mwenye nyumba msaidizi since wapangaji wote wamemkuta.
Hivi ndugu story ya Mwahija ulishatupia humu au nimepitwa nayo? Maana kama baada ya yy ndio ukatubu kabisa kuhusu mishangazi nn kilikukuta mwamba? BrieflyRudi umalizie
Yani nilicheka kinoma nilivyoenda kunitembelea. Msela kajiachia Kama kwao Yani.Ni mimi kabisa hapo nimefuga Hadid njiwa kwenye nyumba ya kupangaπππππππππ
Ikiisha ya apostle tuwekewe ya mwahijaHiyo ni story inayojitegemea. Panapo majaaliwa italetwa humu π π π