Fumanizi la Mchungaji ...adai alikuwa anamfanyia mke wa mtu maombi

Fumanizi la Mchungaji ...adai alikuwa anamfanyia mke wa mtu maombi

wacha waliwe tu hakuna namna kama wanajirahisi wacha tu pastor wajilipe
 
Dini zingine u ..........ma tu,endeleeni kulana mana huko zinaa imeruhusiwa,
 
wachungaji wa kilokole wasenge sana

IGUDUNG'A;
Aksante sana mkuu kwa tusi lako ila, sidhani kama umetenda haki. Ni wachungaji gani weye unaona si wa aina hiyo ulowatusi hao wa kilokole? Pole zako lakini
 
Sote hadharani au kwa kujificha tumetenda dhambi. Tutubu na kumrudia muumba..usimnyooshee mwenzako kidole ungali umetoka fanya uzinzi, kutoa mimba, kusengenya, kuiba, kudhulumu... sikubaliani na mch, nakemea ila kila mtu kwa nafasi yake atubu na anuie kwa dhati kuacha dhambi hasa ile aipendayo na kuifanya mara kwa mara
 
Wachungaji wa kwao ni wazinzi, wa TZ ni walevi ngoma droo 1:1.
 
Back
Top Bottom