Mzee huyu alionewa sana,ila iko siku Mungu atamlipia,huwezi kubaka wewe na wanao watatu mkiwa na akili timamu,asiwepo hata mmoja wa kusema hapana,huu ni uonevu wa hali ya juu,kafungwa na kigogo mmoja ktk serikali ya buku 7 kwa sababu ya kutembea na hawara wa kigogo huyo.
Mzee huyu alionewa sana,ila iko siku Mungu atamlipia,huwezi kubaka wewe na wanao watatu mkiwa na akili timamu,asiwepo hata mmoja wa kusema hapana,huu ni uonevu wa hali ya juu,kafungwa na kigogo mmoja ktk serikali ya buku 7 kwa sababu ya kutembea na hawara wa kigogo huyo.
Kwanini haukupeleka ushaidi huo mahakamani.
Walifungua kesi baada ya yule mchepuko kufa.
Nasikia alijiua au kufa kwa ngoma.
Huyu mbakaji mshhennzy aozee jela!..eti hawezi kubaka? Watu wanakata mikono albino sembuse kubaka? Huwajui wacongo wewe hao wanabaka hadi mbuzi ili watoke kimuziki! Wachawi sana wewe unayemuoneo huruma mpelekee mwanao jela akambake. Post za kippuuzi kama hizi usirudie tena kuzileta hapa. Waliwaharibu vibaya sana wale watoto. Ngoja unijibu nikurudie tena @$//×÷÷ zako
Vasco da gama ndio nanimshe.nzi mwana.izaya wewe mja wa laana,una laana ukoo wako wote,mbuzi wewe kasoro mkia,unatetea ungese aliofanyiwa mzee wa watu? umetumwa eti? au wewe ndo jaji uliyewafunga baada ya vasco dagama kuuma waya na kukupa amri hiyo? tena kabisa usirudie tena,%@&§< kabisa wewe serikali yenu ya buku 7 siku zake zinahesabika kenge blue wakubwa,kaa kimya kabisa nyambaf....
Mkuu HISTORY ilikupita kushoto nini? VASCO DA GAMA si ndio wale ktk agents of colonialism - Explorers, Missionaries & Traders, sasa V. D. Gama alikuwa anaplay role zote, ila sifa yake kubwa ni MSAFIRI mashuhuri!
Duu pole sana ila mwanaume unatakiwa uwe jasiri usiogope short gun wala FFU.Siji kusahau mkuu wa mkoa alivyoamrisha FFU wanipige risasi wakiniona maeneo ya makazi yake,kisa mwanae kafa kaoza. Siku moja namrudisha mtoto na motokaa ya mzee FFU walikuwa wasela wakanambia mzee ameisafisha short gun anakuwinda kama digidigi. Bahati nzuri mzee yule wa kimasai hakuwahi nifahamu angenimwaga mavi. Ila tunaendelea na nataka kuoa.
Wakubwa ni noma,tena mshee papuchi ndio hatari mno. Hatariii