Kiraka Kikuu
JF-Expert Member
- Oct 3, 2011
- 5,903
- 1,979
Kwani mtoto mdogo sio mtu mzima ni kpande?
Kulikuwa na guest house tatu: NO15,NO16 na NO17.
Mgeni alipita NO15 na NO16 akashindana nao bei,lakini alipofika NO17 alitoka mbio balaa!!!!
Unadhani kwanini mgeni huyu alitoka mbio NO17 guest house?
Kulikuwa na guest house tatu: NO15,NO16 na NO17.
Mgeni alipita NO15 na NO16 akashindana nao bei,lakini alipofika NO17 alitoka mbio balaa!!!!
Unadhani kwanini mgeni huyu alitoka mbio NO17 guest house?
nyumbaKati ya nyumba na ndege ni kitu gani kinapaa juu.
Kati ya nyumba na ndege ni kitu gani kinapaa juu.
Jawabu: Jicho
ila nimependa unavyofikiria.