Fumbo la future ya mahusiano sio sababu ya kujaribu kuoa mwanamke wa ovyo

Fumbo la future ya mahusiano sio sababu ya kujaribu kuoa mwanamke wa ovyo

Natafuta Ajira

JF-Expert Member
Joined
Mar 25, 2020
Posts
9,016
Reaction score
24,650
Nimegundua kuna changamoto kubwa sana kwa vijana linapokuja suala la kuchagua mke, vijana wanachagua kiholea holela sana. Future ya mahusiano ni fumbo lakini iyo sio sababu ya kubet kwa mwanamke wa ovyo.

Umekutana na mwanamke mlevi, single mother, sio bikira, yupo 30+, aliolewa akaachika, hana adabu au kapanga wakati hana kazi, izo zote ni red flags. Achana nae, usimuonee huruma mwanamke, usipuuze past ya mwanamke, usjifanye shujaa kwenye maisha ya mwanamke,

Sikiliza kijana mwenzangu, wewe sio kituo cha kubadilisha tabia wanawake ambao walipewa malezi mabovu na wazazi wao. Unahitaji mke ambae yupo tayari kuwa mwenza wako ili mtengeneze maisha yenu, sio project ambayo kila siku utakua unafanya kazi ya kuitengeneza ikamilike.

Kama akulelewa vyema na wazazi wake, kama anakuja kwenye mahusiano na migogoro, ulevi, umalaya, tamaa, dharau, utoto, basi maamuzi bora kwa mustakabali wa future yako ni kuachana nae.

Nyumbani kwako ni mahala patakatifu kwa ajili ya kukusanya nguvu na kupata faraja baada ya miangaiko yako ya siku nzima, sio uwanja wa vita.

Kama baba ake ambae amemleta hapa duniani na kuishi nae kwa takribani miaka 20 ameshindwa, nini kinakufanya kufikiri wewe utaweza?. Sio jukumu lako kurekebisha past ya mwanamke, una maisha yako ambayo unawajibika nayo. Usipoteze muda kubeba jukumu la mzazi kwa mwanamke ambae ni mtu mzima.

Achana na wanawake wa ajabu ajabu. Kama hana heshima, hana shukrani, muda wote anaujaribu uvumilivu wako, uyo sio mwanamke wa kujishughulisha nae. Unahitaji amani sio migogoro.

Kila binadamu ana mapungufu yake lakini mwanamke ambae yupo tayari kuwa mkeo atakua tayari anaijua misingi yake kwenye mahusiano mfano heshima(kuheshimu wengine na kujiheshimu yeye mwenyewe), nidhamu, emotional maturity na wajibu wake. Akikosa izo sifa maana yake hayupo tayari kuwa mkeo, bado hajielewi and that's not your burden, you are not her father.

Kama mwanamke hana heshima, mvivu, past chafu ,ameshaalibu maisha yake nini kinakufanya kuamini atabadilika kwa ajiri yako?. Uyo mwanamke atakuja na tabia zake kwenye mahusiano na muda wako wote wa kuwa nae utaangaika kukabiliana na asili yake.

Mwanaume una mission yako hapa duniani hautakiwi kupoteza muda kumlea mwanamke mtu mzima ambaye akulelewa vyema na wazazi wake. Unahitaji mwanamke ataekupa support kwenye mission yako sio mwanamke atakaekuchelewesha.
 
Umekutana na mwanamke mlevi, single mother, sio bikira, yupo 30+, aliolewa akaachika, hana adabu au kapanga wakati hana kazi, izo zote ni red flags. Achana nae, usimuonee huruma mwanamke, usipuuze past ya mwanamke, usjifanye shujaa kwenye maisha ya mwanamke,
Umesema vyema

Baada ya miaka mingi ya kukahabika, kuzalishwa, night life kuna kijana nice guy atakuja kufanya naye maisha na kupuuzia her past kwa sababu tu ya kupewa pussy vizuri

Vijana wengi miaka hii ni watumwa wa uchi wa mwanamke wakishapewa good sex wana-ignore her past

Don't be that guy her past is your future


 
Vijana wengi miaka hii ni watumwa wa uchi wa mwanamke wakishapewa good sex wana-ignore her past

Don't be that guy her past is your future


Wanashindwa kuelewa kuwa she is pro on bed kwa sababu ya experience ya ukahaba na kutumika na wanaume wengi.

Wamemtumia na kumfundisha kila aina ya ushenzi katika sex
 
Nimegundua kuna changamoto kubwa sana kwa vijana linapokuja suala la kuchagua mke, vijana wanachagua kiholea holela sana. Future ya mahusiano ni fumbo lakini iyo sio sababu ya kubet kwa mwanamke wa ovyo.

Umekutana na mwanamke mlevi, single mother, sio bikira, yupo 30+, aliolewa akaachika, hana adabu au kapanga wakati hana kazi, izo zote ni red flags. Achana nae, usimuonee huruma mwanamke, usipuuze past ya mwanamke, usjifanye shujaa kwenye maisha ya mwanamke,

Sikiliza kijana mwenzangu, wewe sio kituo cha kubadilisha tabia wanawake ambao walipewa malezi mabovu na wazazi wao. Unahitaji mke ambae yupo tayari kuwa mwenza wako ili mtengeneze maisha yenu, sio project ambayo kila siku utakua unafanya kazi ya kuitengeneza ikamilike.

Kama akulelewa vyema na wazazi wake, kama anakuja kwenye mahusiano na migogoro, ulevi, umalaya, tamaa, dharau, utoto, basi maamuzi bora kwa mustakabali wa future yako ni kuachana nae.

Nyumbani kwako ni mahala patakatifu kwa ajili ya kukusanya nguvu na kupata faraja baada ya miangaiko yako ya siku nzima, sio uwanja wa vita.

Kama baba ake ambae amemleta hapa duniani na kuishi nae kwa takribani miaka 20 ameshindwa, nini kinakufanya kufikiri wewe utaweza?. Sio jukumu lako kurekebisha past ya mwanamke, una maisha yako ambayo unawajibika nayo. Usipoteze muda kubeba jukumu la mzazi kwa mwanamke ambae ni mtu mzima.

Achana na wanawake wa ajabu ajabu. Kama hana heshima, hana shukrani, muda wote anaujaribu uvumilivu wako, uyo sio mwanamke wa kujishughulisha nae. Unahitaji amani sio migogoro.

Kila binadamu ana mapungufu yake lakini mwanamke ambae yupo tayari kuwa mkeo atakua tayari anaijua misingi yake kwenye mahusiano mfano heshima(kuheshimu wengine na kujiheshimu yeye mwenyewe), nidhamu, emotional maturity na wajibu wake. Akikosa izo sifa maana yake hayupo tayari kuwa mkeo, bado hajielewi and that's not your burden, you are not her father.

Kama mwanamke hana heshima, mvivu, past chafu ,ameshaalibu maisha yake nini kinakufanya kuamini atabadilika kwa ajiri yako?. Uyo mwanamke atakuja na tabia zake kwenye mahusiano na muda wako wote wa kuwa nae utaangaika kukabiliana na asili yake.

Mwanaume una mission yako hapa duniani hautakiwi kupoteza muda kumlea mwanamke mtu mzima ambaye akulelewa vyema na wazazi wake. Unahitaji mwanamke ataekupa support kwenye mission yako sio mwanamke atakaekuchelewesha.
Well said, usimuonee huruma mwanamke aliyezaa na vibaka kwa ajili ya tamaa za kijinga. Utakuta mwanamke kacheza na ujana / usichana wake kutoa mimba hovyo na anajuwa kabisa hawezi tena kuzaa lakini anamdanganya mwanamme ili asijuwe ukweli, mwanamke kama huyu hafai kuwa naye kwenye mahusiano hata kidogo.
 
usimuonee huruma mwanamke, usipuuze past ya mwanamke, usjifanye shujaa kwenye maisha ya mwanamke,
Ameanza kuchezewa tangu akiwa na miaka 15 kipindi akiwa kwenye teenage

Piga picha ni trauma ngapi na sexual experience kapitia kwenye mahusiano yake mpaka kafikia age 30s

Halafu kuna kijana mmoja mpumbavu anafikiri akimlipia mahari, akampigia magoti na kumvalisha pete na akimuoa atambadilisha tabia

Huwezi kubadili tabia ya mwanamke aliyokuwa nayo tangu teenagehood na hata yeye mwenyewe hawezi kuiacha

Wewe muoe tu huyo malaya, who knows? You might be the lucky finished man


 
Nimegundua kuna changamoto kubwa sana kwa vijana linapokuja suala la kuchagua mke, vijana wanachagua kiholea holela sana. Future ya mahusiano ni fumbo lakini iyo sio sababu ya kubet kwa mwanamke wa ovyo.

Umekutana na mwanamke mlevi, single mother, sio bikira, yupo 30+, aliolewa akaachika, hana adabu au kapanga wakati hana kazi, izo zote ni red flags. Achana nae, usimuonee huruma mwanamke, usipuuze past ya mwanamke, usjifanye shujaa kwenye maisha ya mwanamke,

Sikiliza kijana mwenzangu, wewe sio kituo cha kubadilisha tabia wanawake ambao walipewa malezi mabovu na wazazi wao. Unahitaji mke ambae yupo tayari kuwa mwenza wako ili mtengeneze maisha yenu, sio project ambayo kila siku utakua unafanya kazi ya kuitengeneza ikamilike.

Kama akulelewa vyema na wazazi wake, kama anakuja kwenye mahusiano na migogoro, ulevi, umalaya, tamaa, dharau, utoto, basi maamuzi bora kwa mustakabali wa future yako ni kuachana nae.

Nyumbani kwako ni mahala patakatifu kwa ajili ya kukusanya nguvu na kupata faraja baada ya miangaiko yako ya siku nzima, sio uwanja wa vita.

Kama baba ake ambae amemleta hapa duniani na kuishi nae kwa takribani miaka 20 ameshindwa, nini kinakufanya kufikiri wewe utaweza?. Sio jukumu lako kurekebisha past ya mwanamke, una maisha yako ambayo unawajibika nayo. Usipoteze muda kubeba jukumu la mzazi kwa mwanamke ambae ni mtu mzima.

Achana na wanawake wa ajabu ajabu. Kama hana heshima, hana shukrani, muda wote anaujaribu uvumilivu wako, uyo sio mwanamke wa kujishughulisha nae. Unahitaji amani sio migogoro.

Kila binadamu ana mapungufu yake lakini mwanamke ambae yupo tayari kuwa mkeo atakua tayari anaijua misingi yake kwenye mahusiano mfano heshima(kuheshimu wengine na kujiheshimu yeye mwenyewe), nidhamu, emotional maturity na wajibu wake. Akikosa izo sifa maana yake hayupo tayari kuwa mkeo, bado hajielewi and that's not your burden, you are not her father.

Kama mwanamke hana heshima, mvivu, past chafu ,ameshaalibu maisha yake nini kinakufanya kuamini atabadilika kwa ajiri yako?. Uyo mwanamke atakuja na tabia zake kwenye mahusiano na muda wako wote wa kuwa nae utaangaika kukabiliana na asili yake.

Mwanaume una mission yako hapa duniani hautakiwi kupoteza muda kumlea mwanamke mtu mzima ambaye akulelewa vyema na wazazi wake. Unahitaji mwanamke ataekupa support kwenye mission yako sio mwanamke atakaekuchelewesha.
Yaani wewe, kuna siku network inashika vizuri. Leo ni moja ya hizo siku
 
Well said, usimuonee huruma mwanamke aliyezaa na vibaka kwa ajili ya tamaa za kijinga. Utakuta mwanamke kacheza na ujana / usichana wake kutoa mimba hovyo na anajuwa kabisa hawezi tena kuzaa lakini anamdanganya mwanamme ili asijuwe ukweli, mwanamke kama huyu hafai kuwa naye kwenye mahusiano hata kidogo.
Mkianza harakati za kusaka mtoto mnaambiwa hormone imbalance na upuuzi gani sijui, kumbe mwanamke ashaalibu kizazi kwa kumeza abortion pills
 
Ameanza kuchezewa tangu akiwa na miaka 15 kipindi akiwa kwenye teenage

Piga picha ni trauma ngapi na sexual experience kapitia kwenye mahusiano yake mpaka kafikia age 30s

Halafu kuna kijana mmoja mpumbavu anafikiri akimlipia mahari, akampigia magoti na kumvalisha pete na akimuoa atambadilisha

Huwezi kubadili tabia ya mwanamke aliyokuwa nayo tangu teenagehood na hata yeye mwenyewe hawezi kuiacha

Wewe muoe tu huyo malaya, who knows? You might be the lucky finished man


Sema wanawake wanaanza kukitombesha mapema sana aisee., miaka 15 hapo mtoto wa kiume bado hata mademu anawaogopa.
 
Back
Top Bottom