Fumbo la future ya mahusiano sio sababu ya kujaribu kuoa mwanamke wa ovyo

Fumbo la future ya mahusiano sio sababu ya kujaribu kuoa mwanamke wa ovyo

Wanameza P2 zaidi ya paracetamol. Akija kwako mabasha zake anawaweka kwenye blacklist, safari hazimuishi ukiuliza anakuambia anaenda kwa shangazi yake au ma mdogo, simu yake iko bize muda mwingi ukiuliza utajibiwa nilikuwa naongea na baba.Show zake ni kulala na mwanaume hadi asubuhi, siku hiyo utaambiwa simu naweka chaji.Hata ukimpa nini huyo haumuwezi, utapata presha na sukari mapema kabisa.Mwanamke anayeshindana na wewe mwanaume Kaa nae mbali.
 
Kuna mbuzi moja ninayo najipigia tuu kuondoa upwiru sababu hana namna kwangu,kapanga nyumba nzima analipa 300k kwa mwezi na hana kazi yoyote ile,anakula na kuvaa vizuri,na mpaka sasa ana 31yrs hana mtoto hats mmoja.
Endelea kujipigia huku ukitafuta haraka mbadala atakuja kukuua, ngoma ipo binamu
 
Kuna mbuzi moja ninayo najipigia tuu kuondoa upwiru sababu hana namna kwangu,kapanga nyumba nzima analipa 300k kwa mwezi na hana kazi yoyote ile,anakula na kuvaa vizuri,na mpaka sasa ana 31yrs hana mtoto hats mmoja.
Sio kupanga nyumba tu mzee mwenzangu., unakuta mwingine kapanga fremu halafu dukani kuna tshirt 5 na jeans 2 tu zimening'inizwa kwenye enka, hauzi chochote siku nzima na biashara haifi, hapo anamiliki macho matatu.
 
Wanameza P2 zaidi ya paracetamol. Akija kwako mabasha zake anawaweka kwenye blacklist, safari hazimuishi ukiuliza anakuambia anaenda kwa shangazi yake au ma mdogo, simu yake iko bize muda mwingi ukiuliza utajibiwa nilikuwa naongea na baba.Show zake ni kulala na mwanaume hadi asubuhi, siku hiyo utaambiwa simu naweka chaji.Hata ukimpa nini huyo haumuwezi, utapata presha na sukari mapema kabisa.Mwanamke anayeshindana na wewe mwanaume Kaa nae mbali.
Wanaume tunatumia nguvu na resources nyingi sana kwa ajiri ya wanawake halafu tunajisahau sisi wenyewe. Wanawake wwnyewe ndio hawa hawatosheki mpaka ufe au ufilisike.

Ifike hatua wanaume tuanze kujipa kipaumbele sisi wenyewe kwenye kila kitu. Wanaume pia tunahitaji kuishi vizuri.
 
Back
Top Bottom