Mkereketwa_Huyu
JF-Expert Member
- Feb 19, 2011
- 9,836
- 7,231
Never because they're a time bomb.Will you accept your son to marry a demaged woman?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Never because they're a time bomb.Will you accept your son to marry a demaged woman?
😀😀😀😀Kuna wanawake wengi wako hivi mwisho wa siku wakiona mume anakaribia kumkamata uwongo utasikia nilirogwa na Mama mkubwa.
Hawa jamaa Natafuta Ajira Xi Jinping Mzee wa kupambania na Zemanda wanatufungua akili watu wengi sana humu.Kweli umenigusa mm nikijana napitia wakati mgumu sana umenibust brain yangu asante🙏
Kuna mbuzi moja ninayo najipigia tuu kuondoa upwiru sababu hana namna kwangu,kapanga nyumba nzima analipa 300k kwa mwezi na hana kazi yoyote ile,anakula na kuvaa vizuri,na mpaka sasa ana 31yrs hana mtoto hats mmoja.Eti kapanga wakati hana kazi 🤣
Kwa hiyo wewe umeletwa Duniani kubadilisha magumegume na mandungayembe toka kwa wazazi wao?Watu huwa wanabadilika mkuu
Endelea kujipigia huku ukitafuta haraka mbadala atakuja kukuua, ngoma ipo binamuKuna mbuzi moja ninayo najipigia tuu kuondoa upwiru sababu hana namna kwangu,kapanga nyumba nzima analipa 300k kwa mwezi na hana kazi yoyote ile,anakula na kuvaa vizuri,na mpaka sasa ana 31yrs hana mtoto hats mmoja.
Kinga lazima MkuuEndelea kujipigia huku ukitafuta haraka mbadala atakuja kukuua, ngoma ipo binamu
Sio kupanga nyumba tu mzee mwenzangu., unakuta mwingine kapanga fremu halafu dukani kuna tshirt 5 na jeans 2 tu zimening'inizwa kwenye enka, hauzi chochote siku nzima na biashara haifi, hapo anamiliki macho matatu.Kuna mbuzi moja ninayo najipigia tuu kuondoa upwiru sababu hana namna kwangu,kapanga nyumba nzima analipa 300k kwa mwezi na hana kazi yoyote ile,anakula na kuvaa vizuri,na mpaka sasa ana 31yrs hana mtoto hats mmoja.
Wanaume tunatumia nguvu na resources nyingi sana kwa ajiri ya wanawake halafu tunajisahau sisi wenyewe. Wanawake wwnyewe ndio hawa hawatosheki mpaka ufe au ufilisike.Wanameza P2 zaidi ya paracetamol. Akija kwako mabasha zake anawaweka kwenye blacklist, safari hazimuishi ukiuliza anakuambia anaenda kwa shangazi yake au ma mdogo, simu yake iko bize muda mwingi ukiuliza utajibiwa nilikuwa naongea na baba.Show zake ni kulala na mwanaume hadi asubuhi, siku hiyo utaambiwa simu naweka chaji.Hata ukimpa nini huyo haumuwezi, utapata presha na sukari mapema kabisa.Mwanamke anayeshindana na wewe mwanaume Kaa nae mbali.
Au kutoa mimba kienyejiMkianza harakati za kusaka mtoto mnaambiwa hormone imbalance na upuuzi gani sijui, kumbe mwanamke ashaalibu kizazi kwa kumeza abortion pills