Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 76,107
- 160,001
- Thread starter
- #21
Hatari sanaBaada ya Adidas kujitoa nasikia utajiri wake umeshuka mno kutoka dola bilioni mbili mpaka dola milioni 4. That is a very drastic change.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hatari sanaBaada ya Adidas kujitoa nasikia utajiri wake umeshuka mno kutoka dola bilioni mbili mpaka dola milioni 4. That is a very drastic change.
Haya mambo ni mazito mnoKuna dada kapeleka kwa mganga kitambaa chenye manii alichomfutia mumewe baada ya show
SanaHaya mambo ni mazito mno
Kanye ni mtu mwenye majuto makubwa sana yupo njiapandaAtakuwa kichaa huyu nadhani
ila watu wanamuita genius
anavaaga mabuti ya nvua pasipo na nvua!!?
Haya mambo hua yana majuto makubwa mtu anakufa akiwa ana tanga tanga RIP Michael JacksonKuna mahali huyu jamaa kadata.Juzikati akitoa speech kadai baba yake alitaka kum-abort Mama yake kakataa akamuokoa.
Mwisho karopoka" I WANTED TO KILL MY DAUGHTER"
Akaanza kulia.
Hajaeleweka
Na sasa hiyo child support wamempiga pigo la Mwisho.