FUMBO

ashidodi

JF-Expert Member
Joined
Sep 4, 2016
Posts
291
Reaction score
340
Habari za majukumu ndugu zanguni, nimekutana na fumbo linasema hivi,
NI MWEUPE KAMA BARAFU PIA NI MWEUSI KAMA GIZA, KULIWA NI HARAMU NA ANAMANYOYA MENGI MWILINI. JINA LAKE LINA HERUFI 5 NA LINAAZIA NA HERUFI X. WANAUME HUONANA NAE MARA 3 KWA SIKU LAKINI WANAWAKE HUONANA NAE MARA 1 KATIKA UHAI WAO WOTE. WAFALME,MAASKALI, VIONGOZI NA WABABE WANAMUOGOPA SANA LAKINI WATOTO WANAMCHEZEA, CHAKULA CHAKE NI CHUMVI,TANGAWIZI NA MAZIWA.JE NI NINI HICHO?
Mwenye uelewa na fumbo hili anifumbulie. Asanteni sana
 
Tangu 2010 sijapata jibu la fumbo hilo.. Inawezekana leo likajibiwa hapa
 
Ni Xenod.. Ana rangi ya weupe juu na weusi chini.. Kila mwanaume anakuwa na vision yake kila siku mara 3 kwajili ya ugumu wa maisha ila kwa wanawake huwatokea zaidi wanapopata hedhi mara ya kwanza kwahyo wakifa wakiwa watoto huwa hawawaoni.... Ana story ndefu sana.. Inahitaji muda kuiandika
 
Ngoja waje. Ila nadhani hili Fumbo ni bosheni!
 
What is Xenod?
 
huyo xenod ndiye nani ..!!?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…