ashidodi
JF-Expert Member
- Sep 4, 2016
- 291
- 340
Habari za majukumu ndugu zanguni, nimekutana na fumbo linasema hivi,
NI MWEUPE KAMA BARAFU PIA NI MWEUSI KAMA GIZA, KULIWA NI HARAMU NA ANAMANYOYA MENGI MWILINI. JINA LAKE LINA HERUFI 5 NA LINAAZIA NA HERUFI X. WANAUME HUONANA NAE MARA 3 KWA SIKU LAKINI WANAWAKE HUONANA NAE MARA 1 KATIKA UHAI WAO WOTE. WAFALME,MAASKALI, VIONGOZI NA WABABE WANAMUOGOPA SANA LAKINI WATOTO WANAMCHEZEA, CHAKULA CHAKE NI CHUMVI,TANGAWIZI NA MAZIWA.JE NI NINI HICHO?
Mwenye uelewa na fumbo hili anifumbulie. Asanteni sana
NI MWEUPE KAMA BARAFU PIA NI MWEUSI KAMA GIZA, KULIWA NI HARAMU NA ANAMANYOYA MENGI MWILINI. JINA LAKE LINA HERUFI 5 NA LINAAZIA NA HERUFI X. WANAUME HUONANA NAE MARA 3 KWA SIKU LAKINI WANAWAKE HUONANA NAE MARA 1 KATIKA UHAI WAO WOTE. WAFALME,MAASKALI, VIONGOZI NA WABABE WANAMUOGOPA SANA LAKINI WATOTO WANAMCHEZEA, CHAKULA CHAKE NI CHUMVI,TANGAWIZI NA MAZIWA.JE NI NINI HICHO?
Mwenye uelewa na fumbo hili anifumbulie. Asanteni sana