Fun Fact: Wajua kuwa maeneo yenye udongo mwekundu ni sababu ya kutu?

Fun Fact: Wajua kuwa maeneo yenye udongo mwekundu ni sababu ya kutu?

Lycaon pictus

JF-Expert Member
Joined
Jan 31, 2021
Posts
9,189
Reaction score
16,128
Karibu mara zote uwepo wa rangi ya udongo mwekundu ardhini husababishwa na kutu. Chuma kikikutana na hewa ya oxygen na maji hutokeza kutu. Maeneo yenye udongo mwekundu huwa na ardhi yenye madini chuma mengi. Chuma hicho kikipigwa na hewa na maji hutokeza kutu.
1741050233358.jpeg

Kasulu.

Udongo huu ukiwa umekolea sana kutu huitwa Ocre. Wamasai huutumia sana kujipaka. Husemwa kuwa kiafya husaidia kulinda ngozi dhidi ya jua kali.

1741050350775.jpeg

1741050434859.jpeg

1741050477528.jpeg


Wa misri wa kale pia walijipakaa na walichora picha zao kwa kutumia ocre.
1741050587380.jpeg
 
Karibu mara zote uwepo wa rangi ya udongo mwekundu ardhini husababishwa na kutu. Chuma kikikutana na hewa ya oxygen na maji hutokeza kutu. Maeneo yenye udongo mwekundu huwa na ardhi yenye madini chuma mengi. Chuma hicho kikipigwa na hewa na maji hutokeza kutu.
View attachment 3258169
Kasulu.

Udongo huu ukiwa umekolea sana kutu huitwa Ocre. Wamasai huutumia sana kujipaka. Husemwa kuwa kiafya husaidia kulinda ngozi dhidi ya jua kali.

View attachment 3258170
View attachment 3258172
View attachment 3258173

Wa misri wa kale pia walijipakaa na walichora picha zao kwa kutumia ocre.
View attachment 3258175
Uzi wa daku huu😁
 
Losharee.... Daby nirekebishe kama nimekosea.

Ile soft dust tulikuwa tunatumia kama 😅😅ukute unaenda kwny sherehe unakuta m2 kapaka zake enjoy face uso umepigwa vumbi la kutosha🤣🤣🤣

Losharee.... Daby nirekebishe kama nimekosea.

Ile soft dust tulikuwa tunatumia kama enjoy face enzi hizo.....😃.
ukute unaenda kwny sherehe unakuta m2 kapaka zake enjoy face uso umepigwa vumbi la kutosha🤣
 
Back
Top Bottom