Fund/sponsor wa biashara ya bar anahitajika

Juju_Kiki

Member
Joined
Apr 17, 2015
Posts
36
Reaction score
2
Habari ndugu zangu,

Nina eneo la kufanya biashara ya bar/lounge Dodoma mjini. Natafuta mtu atakaye ni sponsor na baada ya miezi 10 mpaka mwaka akapata refunded back na some percentage kulingana tutakavyoingia mkataba.

NB: Kwa aliye serious ani inbox..
 
Sponsor tena? Kwa nini usiende kuchukua LOAN Bank?
 
kwanini usitafute sponsor hapo mkawa kama partner mkaunganisha mtaji"
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…