Yeah, kwa mchanganuo tunaweza sema ni chumba na seble na chumba na choo/bafu.Nyumba ya 4.6mx12m
Sio mbaya, 50m² ni nyumba ya size nzuri. Wala hakuna haja ya kujenga 200m² halafu likawa pagale.Yeah, kwa mchanganuo tunaweza sema ni chumba na seble na chumba na choo/bafu.
Ama chumba seblen na jiko na choo/bafu.
Kwa watanzania wengi wa maisha ya kawaida ni nyumba standard kabisa..sio sawa na kupanga!Seble ,chumba,chumba , choo& bafu box
Hivi sisi wapangaji huwa mnatuonaje?Kwa watanzania wengi wa maisha ya kawaida ni nyumba standard kabisa..sio sawa na kupanga!
Hongera sana mkuu unatutia moyo kwakweliNapatikana kwa namba 0743257669
TUMEKABIDHI KAZI PANDE ZA KIGOGO MABIBO NYUMBA INAUKUBWA WA MITA 4.6 KWA 12M
Mbao 4×2 pcs 80×5500= 440,000
Mbao 2×2 pcs 60× 2800= 168,000
Mbao 10×1 pcs 12×16000= 192,000/=
Misumari nch4 kg 25×3500= 87,500/=
Misumari nch3 kg 5×3500= 17,500/=
Misumari nch2 kg 3×3500= 10,500/=
Rangi ya kupaka fisher board 50,000 /=
Bati ALAFU pc 60
33,000 x 60= 1,980,0000 =
Kofia pcs 12× 14,000 =168,000
Valley HAKUNA
Misumari ya bati pkt 25×8000= 200,000/=
JUMLA KUU .3,313.5,000/=..........................
UFUNDI MAELEWANO
View attachment 2722297View attachment 2722298View attachment 2722299View attachment 2722300
Utafika huko mkuu,mambo taratibu.🤣Hivi sisi wapangaji mnatuonaje?