Timor
Member
- Feb 4, 2009
- 48
- 32
Najua pahala hapa hapaharibiki neno nimeolewa yapata miaka kadhaa sasa nina watoto wanne,Mume wangu hatulii kabisa, Ni mcharuko kwa kwenda mbele hapishi skirt wala gauni.Mie bado nampenda ila nahofu ataniletea maradhi mabaya.Nimemsomesha na kumsomesha imeshindikana.Jana shoga yangu kaniambia kuna wataalam wa kipemba wanaweza kumfunga luku/speed governor.Kwa anayemjua mjuzi wa shughuli hiyo naomba ani PM tafadhali sana.