Fundi Mzuri Dar wa Masuala ya Umeme, Diagnostics/Repair Sensors/Circuits etc

Fundi Mzuri Dar wa Masuala ya Umeme, Diagnostics/Repair Sensors/Circuits etc

FUJISTU

JF-Expert Member
Joined
Mar 20, 2013
Posts
261
Reaction score
93
Habari wakuu,
Naulizia fundi mzuri wa kurekebisha masuala ya umeme kwenye gari, kuna gari (Honda CRV) inawasha taa ya check engine kama baada ya dakika 5 baada ya kuanza kutembea, nimefanya diagnostics inaleta error ya MAP Sensor Circuit,,,,naomba mawasiliano ya kupata fundi mzuri wa masuala haya kwa hapa Dar es Salaam, nawasilisha.
 
Umeshapata fundi?


067 740 1259 Jaribu huyu bro
Habari wakuu,
Naulizia fundi mzuri wa kurekebisha masuala ya umeme kwenye gari, kuna gari (Honda CRV) inawasha taa ya check engine kama baada ya dakika 5 baada ya kuanza kutembea, nimefanya diagnostics inaleta error ya MAP Sensor Circuit,,,,naomba mawasiliano ya kupata fundi mzuri wa masuala haya kwa hapa Dar es Salaam, nawasilisha.
 
Habari wakuu,
Naulizia fundi mzuri wa kurekebisha masuala ya umeme kwenye gari, kuna gari (Honda CRV) inawasha taa ya check engine kama baada ya dakika 5 baada ya kuanza kutembea, nimefanya diagnostics inaleta error ya MAP Sensor Circuit,,,,naomba mawasiliano ya kupata fundi mzuri wa masuala haya kwa hapa Dar es Salaam, nawasilisha.
Kama utaweza kwenda Lindi pale kuna magwiji wa hilo tatizo lako. Tembelea garage inaitwa KAHAWA MOTORS.

wacheki kazi zao hapa kahawamotors.com
 
Habari wakuu,
Naulizia fundi mzuri wa kurekebisha masuala ya umeme kwenye gari, kuna gari (Honda CRV) inawasha taa ya check engine kama baada ya dakika 5 baada ya kuanza kutembea, nimefanya diagnostics inaleta error ya MAP Sensor Circuit,,,,naomba mawasiliano ya kupata fundi mzuri wa masuala haya kwa hapa Dar es Salaam, nawasilisha.
Mkuu mafundi tunatofautiana usije ukatengenezewa gari yako na fundi wa toyota,,,hakikisha unapofika unajua kabisa yy anadeal na honda usje kujichanganya coz mafund tuna tamaa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Habari wakuu,
Naulizia fundi mzuri wa kurekebisha masuala ya umeme kwenye gari, kuna gari (Honda CRV) inawasha taa ya check engine kama baada ya dakika 5 baada ya kuanza kutembea, nimefanya diagnostics inaleta error ya MAP Sensor Circuit,,,,naomba mawasiliano ya kupata fundi mzuri wa masuala haya kwa hapa Dar es Salaam, nawasilisha.
karibu sana mkuu JO AUTO TECH kama bado hujarekebisha gari yako..tutakulekebishia tupo mwenge karibia na mwenge msikitin au chuo cha kilimanjaro..

0627136700
 
Back
Top Bottom