Fundi Mzuri wa BMW

Fundi Mzuri wa BMW

Tatizo la Dar kila fundi mwizi. Kuna siku mi nimenunua gari nikaomba aje fundi anichekie, yaani fundi tapeli akamtuma fundi ambaye hata hajui ufundi, nikamuuliza swali moja tu akaenda chaka, yaani watu wa Dar unahitaji kuwa makini sana, wanaweza kujifunzia kwenye gari lako. Na pia wezi sana. Bora ungeweza nenda kwa service provider wa BMW
Noble Motors siwawezi kaka
 
Tatizo la Dar kila fundi mwizi. Kuna siku mi nimenunua gari nikaomba aje fundi anichekie, yaani fundi tapeli akamtuma fundi ambaye hata hajui ufundi, nikamuuliza swali moja tu akaenda chaka, yaani watu wa Dar unahitaji kuwa makini sana, wanaweza kujifunzia kwenye gari lako. Na pia wezi sana. Bora ungeweza nenda kwa service provider wa BMW

Buku 7 mpk umeweza kununua ndinga labda umenunua TATA kama zile za MO za kusambazia juice, full makelele tu
 
Kuna Jamaa nimeona wanajitangaza sana..try them ndo wamefungua ofisi bongo..wanaitwa auto xpress..wako Nyerere road I guess..also remember cheap is sometimes expensive
 
Shakir hapo nimekuelewa kwel kwel umemnunulia gar lakin kad ya gar ina jina lako hapo murua , kuna dem mmoja bwana ake alimwachia gar aina ya vitz akawa anaosha nayo kwel hapa town siku moja nkamuuliza hyo gar ya nan ? huwez amin yuko serious anasema yake nkamwambia wakat mnaanza mapenz ulimkuta na gar mbil na akiridhka kukugegeda hiyo vitz utarudisha tu aaah mbna alichoka sa hv wameachana huwa tunakutana kwenye magar ya umma
 
mkuu kama bado hujapima gari yako na hujaishugulikia ni PM utafuatwa popote ulipo diagnosis mashine siku hizi sio ishu sanaaaa.ishu ni kurekebisha gari ifae.

mashine ni moja ya kitendea kazi cha fundi kinachoturahisishia kazi..

hata kama upo mkoani utafuatwa tuu.

0717228064
 
mkuu kama bado hujapima gari yako na hujaishugulikia ni PM utafuatwa popote ulipo diagnosis mashine siku hizi sio ishu sanaaaa.ishu ni kurekebisha gari ifae.

mashine ni moja ya kitendea kazi cha fundi kinachoturahisishia kazi..

hata kama upo mkoani utafuatwa tuu.

0717228064
Poa, naja PM Mkuu
 
Mkuu kama bado hujapata,karibu Mwenge karibu na TRA, tunashugulika kitaalam na hayo ma gari, mdio tunajishugulisha nayo tu, karibu tukuhudumie, utafurahi mwenyewe
 
Nimeshapajua pale Mkuu, ilipokua stand kwa kule nyuma yake.
Sasa kuichokonoa chokonoa hapo ndio sijaelewa Mkuu, maana si itabidi niwaachie gari kama tatizo ni kubwa,
Na wamfahamu mtu mwenye hiyo Diagnosis Kit nimpatie hiyo fifty anifanyie??
Nakuja Inbox Mkuu

Mkuu ukifanikiwa naomba unijulishe. ..mafundi waliokutengenezea, na umakini wao ukoje.
 
Mkuu kama bado hujapata,karibu Mwenge karibu na TRA, tunashugulika kitaalam na hayo ma gari, mdio tunajishugulisha nayo tu, karibu tukuhudumie, utafurahi mwenyewe

Kufanya electonic diagnosis bei gani mkubwa, natanguliza shukrani.
 
mkuu samahani nilichelewa kukujibu ila ni 50,000/= tu

Ntakucheki weekend mkuu. Ahsante sana. Unaweza kunitumia namba yako PM kama hautajali. Vinginevyo nipe maelekezo ya kutosha kufika ofisini kwenu. Ahsante.
 
Ntakucheki weekend mkuu. Ahsante sana. Unaweza kunitumia namba yako PM kama hautajali. Vinginevyo nipe maelekezo ya kutosha kufika ofisini kwenu. Ahsante.
poa poa mkuu namba ni 0713415537
 
Back
Top Bottom