Tatizo dogo sana mkuu nenda kwa fundi umeme wa magari nenda na jibu moja tu mwanbie fundi Armicher/ amicha ya stater ya gari yako imekufa sasa utaamua ww mwenyewe kufunga mpya au kununua starter mpya shida ni huyo tu mkuu means amicha ikipata moto injini lile joto linafanya itanuke pia badili na starter brush. Utakuja nishukuru kwa mrejeshoNna gari aina mark x inasumbua sana tatizo la starter na power steering. Hasa starter. Jinsi lilivyo ukiliwasha Majira ya asubuhi litawaka vzuri ukitembea kuanzia kilometer 40 kuendelea au ukikaa barabarani kwa mda kupata lisaa 1 af ukaja ukizima halitawaki tena mda huo hio mpk usubiri saa lingine uje tena ukipiga starter ndio litawaka.
Nimeshashirikisha mafundi katika garage tatu naona wote wameshindwa. Kwa yeyote ambae ashawahi pata hili tatizo kalimaliza tafadhali share fundi wako au ujuzi cha kufanya.
Fundi wa IST ndo huyo huyo wa Mark XNna gari aina mark x inasumbua sana tatizo la starter na power steering. Hasa starter. Jinsi lilivyo ukiliwasha Majira ya asubuhi litawaka vzuri ukitembea kuanzia kilometer 40 kuendelea au ukikaa barabarani kwa muda kupata lisaa 1 af ukaja ukizima halitawaki tena muda huo hio mpaka usubiri saa lingine uje tena ukipiga starter ndio litawaka.
Nimeshashirikisha mafundi katika garage tatu naona wote wameshindwa. Kwa yeyote ambae ashawahi pata hili tatizo kalimaliza tafadhali share fundi wako au ujuzi cha kufanya.
Mmoja kati ya mafundi ashabadilisha starter complete mbili. Ila tatzo linarudi tenaTatizo dogo sana mkuu nenda kwa fundi umeme wa magari nenda na jibu moja tu mwanbie fundi Armicher/ amicha ya stater ya gari yako imekufa sasa utaamua ww mwenyewe kufunga mpya au kununua starter mpya shida ni huyo tu mkuu means amicha ikipata moto injini lile joto linafanya itanuke pia badili na starter brush. Utakuja nishukuru kwa mrejesho
Nipo dar es salaamMtoa mada umekimbilia kutoa lawama badala ya kueleza tatizo lako vizuri.
Upo mkoa gani ili upate msaada vizuri? mafundi wapo wengi Sana wa kutatua tatizo lako
DarUko mkoa gani sasa? Fundi hata akiwa Kagera utamfuata?
Mmmmh hapo sasa balaa umeshawahi fanya diagnosis mkuu kutambua tatizo?Mmoja kati ya mafundi ashabadilisha starter complete mbili. Ila tatzo linarudi tena
Issue ya power steering ni common sana kwenye hizi gari. Je inakuwashia taa ya P/S kwenye dashboard? Na taa ya check engine inawaka au vp?Nna gari aina mark x inasumbua sana tatizo la starter na power steering. Hasa starter. Jinsi lilivyo ukiliwasha Majira ya asubuhi litawaka vzuri ukitembea kuanzia kilometer 40 kuendelea au ukikaa barabarani kwa muda kupata lisaa 1 af ukaja ukizima halitawaki tena muda huo hio mpaka usubiri saa lingine uje tena ukipiga starter ndio litawaka.
Nimeshashirikisha mafundi katika garage tatu naona wote wameshindwa. Kwa yeyote ambae ashawahi pata hili tatizo kalimaliza tafadhali share fundi wako au ujuzi cha kufanya.
Tatizo umefunga PM, hio issue yako inatatulika. Naona umesema upo dsm, nicheki tutengeneze huyo mjapanMmoja kati ya mafundi ashabadilisha starter complete mbili. Ila tatzo linarudi tena
PM Ipo wazi mkuu.Tatizo umefunga PM, hio issue yako inatatulika. Naona umesema upo dsm, nicheki tutengeneze huyo mjapan
Umejaribu kutumia computer majibu yakawqje?Nna gari aina mark x inasumbua sana tatizo la starter na power steering. Hasa starter. Jinsi lilivyo ukiliwasha Majira ya asubuhi litawaka vzuri ukitembea kuanzia kilometer 40 kuendelea au ukikaa barabarani kwa muda kupata lisaa 1 af ukaja ukizima halitawaki tena muda huo hio mpaka usubiri saa lingine uje tena ukipiga starter ndio litawaka.
Nimeshashirikisha mafundi katika garage tatu naona wote wameshindwa. Kwa yeyote ambae ashawahi pata hili tatizo kalimaliza tafadhali share fundi wako au ujuzi cha kufanya.
Okay, nmekuchekiPM Ipo wazi mkuu.
Dah hivi hilo kopo bado unalo?? Toa upuuzi hapa kweli unaanzisha uzi kwaajili ya toyota??