Fundi mzuri wa Toyota rav4 Mwanza

Fundi mzuri wa Toyota rav4 Mwanza

Admin1988

JF-Expert Member
Joined
Mar 30, 2017
Posts
1,603
Reaction score
1,848
Habari wakuu.

Natumaini mnaendelea vyema na maandalizi ya X-mass na Mwaka mpya 2020.

Nahitaji fundi mzuri au gereji nzuri ya TOYOTA kwa MWANZA MJINI.

1. Nina Rav4 engine D4 ina kamlio fulani hivi sikaelewi.
2. Pia nataka niibadiri SEAT COVER
3. Music system ya wiring na bofa na booster
4. AC ina zingua ina hitaji kuongezwa gesi

ASANTE WAKUU NAOMBA KUWASILISHA.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Admin1988,
Mkuu mm nipo mwanza hapa mabatini AUTO RASH but nipo kwa mda toka dar kuna kazi nimekuja kufanya hapa 1 time so waweza jisogeza hapa..

Na wadau wengine wenye shida kwenye magari yao hasa umeme now nipo mwanza tunaweza onana hata kubadilishana mawazo tuu na kupeana ushauri na kula SATO kidogo #0627136700
 
Back
Top Bottom