Tuambatanishie Barua..Chirwa naye ameandika barua ya kuomba kuvunja mkataba, Ngoma haeleweki tangu katikati ya msimu, Tambwe eti naye anataka 80M ili asaini, daah hawa mapro hawana shukrani
Tayari siasa za usajili wa timu yako zimeshabandiko ukoko kwenye macho na masikio yako....Yanga mwakani watashuka daraja
Washamharibia bei itashuka maana hakuna competition tena
Habari iliyovunjikavunjika ninayoweza kuwapeni kwa sasa.
Haruna Niyonzima amesaini mkataba wa miaka miwili wa kuitumikia Simba. Yanga wameshindwa kumshawishi Niyonzima abaki kwa kuwa fedha aliyoitaka wameshindwa kumpa.
======
Klabu ya Yanga SC kupitia kwa Katibu Mkuu Boniface Mkwasa inapenda kuwajulisha wanachama, wapenzi na washabiki wa Yanga juu Mchezaji raia wa Rwanda Haruna Niyonzima ambaye amekua Mchezaji wetu kwa misimu 6 mfululizo katika kiwango cha juu.
TAARIFA KWA UMMA
Hata hivyo Haruna Niyonzima bado ana mkataba mpaka mwezi Julai na Yanga Sc, lakini hatutaweza kuendelea kuwa nae kwa msimu ujao kwani hatukuweza kufikia mwafaka katika mazungumzo yetu na yeye licha ya timu yetu kuwa na nia za kuendelea nae kwa misimu miwili ijayo.
Klabu inamtakia kila la kheri katika maisha yake na soka kwa ujumla.
Imetolewa na Idara ya Habari na Maelezo
Young Africans Sports club.
21-06-2017.
Unavuta bangi ya wapi mkuu ...????Yanga mwakani watashuka daraja
Unatumia Ku_comment kwa lugha ya kigeni ili point yako ionekane ni nzuri? Sasa wewe ungempa shilingi ngapi Niyonzima ili abaki Yanga? Tutajie thamani ya Niyonzima kwa sasa? Unajifanya mjuaji sanaaaa . Unavoaanza kukosoa uwe umeandaa jibu sahihi. Tutajie thamani ya Niyonzima .Childish argument.
Upo sahihi sanaYanga mwakani watashuka daraja
Umekubali sasaSafi sana.
Ni mchezaji mzuri lakini hana thamani ya Mil 70/= alizokuwa akizihitaji....
Maneno ya mkosajiHayuko kwenye mipango ya mwalimu ..mechi za kimataifa anacheza chini ya kiwango..anashine mechi za jk ruvu.majimaji nk
CCm na Yanga ni ndugu?Yanga mwakani watashuka daraja
Eti nikutajie thamani... Kawaulize wakina Kaburu watakumbia...Unatumia Ku_comment kwa lugha ya kigeni ili point yako ionekane ni nzuri? Sasa wewe ungempa shilingi ngapi Niyonzima ili abaki Yanga? Tutajie thamani ya Niyonzima kwa sasa? Unajifanya mjuaji sanaaaa . Unavoaanza kukosoa uwe umeandaa jibu sahihi. Tutajie thamani ya Niyonzima .
# Msimu 2017/18 Yanga sc itashuka daraja au itapambana na kina Ndanda , Mbao.[emoji12]
Hiyo ni ndoto mkuu,Yanga bingwa tena msimu ujao,Yanga inaendelea na usajili wake km kawaida ila ww endelea kusikiliza propaganda za viongozi wakoUnatumia Ku_comment kwa lugha ya kigeni ili point yako ionekane ni nzuri? Sasa wewe ungempa shilingi ngapi Niyonzima ili abaki Yanga? Tutajie thamani ya Niyonzima kwa sasa? Unajifanya mjuaji sanaaaa . Unavoaanza kukosoa uwe umeandaa jibu sahihi. Tutajie thamani ya Niyonzima .
# Msimu 2017/18 Yanga sc itashuka daraja au itapambana na kina Ndanda , Mbao.[emoji12]