mohamedidrisa789
JF-Expert Member
- Jun 20, 2015
- 5,258
- 22,552
Uko poa ndugu safi sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Drewa ndo nini mkui naomba nijue
Mmmmh uko serious aisee....!ni vijidubwasha vidogo vidogo vyembemba kama kamasi za mtoto, hutumika kulainisha rangi... wengine wanaita Tina, wengine mjuba, wengine maiko, wengine Ibra, wengine kiristofa.
Ni material ya mawe madogo madogo ambayo yamedizainiwa kwa rangi tofaut tofaut Angalia picha nambaoja iyo ni drewani vijidubwasha vidogo vidogo vyembemba kama kamasi za mtoto, hutumika kulainisha rangi... wengine wanaita Tina, wengine mjuba, wengine maiko, wengine Ibra, wengine kiristofa.
Drewa ndo nini mkui naomba nijue
Kazi nzuri. Endelea na mapambanoTunafanya skiming na finishing bora kabisa kwa kutumia pasi nzito ambazo hufanya skiming kunyooka bila kuweka mabonde mabonde pia tunapiga drewa, conomixer kwa ustadi wa hali ya juu, Hizi hapa ni baadhi ya kazi zetu[emoji116][emoji116]
Tupgie 0656 535646.
0624 939367View attachment 1705427View attachment 1705428View attachment 1705429View attachment 1705430View attachment 1705433View attachment 1705434
Tnakutumia kwa BUSSMkoani inakuwaje?
Hiyo sio tiles ni wallpaperNzuri sana , zina life span ya muda gani? Zinataka maandalizi gani pale ukutani kabla ya zenyewe kubandikwa?
Mana nimeona sehemu ,jamaa alipomaliza kujenga tu ukuta wake kapiga tiles mmoja matata sana na imependeza balaa , hajaingia gharama ya lipu, plasta wala upuuzi mwingine .
Uref meter 10 upana cm 53Hiyo roll moja ina ukubwa gani?