Mtumishi Anyi
Member
- Sep 11, 2018
- 31
- 18
- Thread starter
- #21
Hapo ni kununua kioo kingine mkuuNa TV ya Aborder 32" kioo cha display cha ndani kimepasuka unatengenezaje ?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapo ni kununua kioo kingine mkuuNa TV ya Aborder 32" kioo cha display cha ndani kimepasuka unatengenezaje ?
Nakipata Kwa shilingi kwa ngapi mkuuhapo ni kununua kioo kingine mkuu
Dukani kinauzwa 250kNakipata Kwa shilingi kwa ngapi mkuu
Ni aina gani? ukiwezekana nitumie details zake whatsapp maybe nawezapata Ic zake, 0766428475Je home thearter, nazo unatengeneza?ninayo ya panasonic , kuwaka ina waka ila haitoi sauti, kuna fundi alisema eti ic zake ni ngumu kuzitengeneza kwani ni computer programmed?!!
Ninaa inch 49 samsungHabari za kazi wakuu,
Kwa majina naitwa Hagai Anyimike, ni Fundi Simu, Radio, Tv na vifaa vingine vya umeme, lengo la kuandika uzi huu ni ombi kwenu hasa wakazi wa Dar es Salaam ikiwa unahitaji huduma ya kutengenezewa kifaa/vifaa vyako naomba unipe hiyo kazi nitakufuata hapo ulipo hivyo pia nitakua nimekurahisishia kazi ya kupeleka kifaa chako kwa fundi, nitafute kwa namba: 0766428475
Natanguliza shukrani.
Ahsanteni
Kioo kimecrek au iko vip, au whatsapp me 0766428475Ninaa inch 49 samsung
Ina mistar meus nauza kama spare
ni aina gani? ukiwezekana nitumie details zake whatsapp maybe nawezapata Ic zake, 0766428475
Ni , DVD HOME THEATER SOUND SYSTEM SA-PT850(PANASONIC)expand...
hizo IC zinapatikana kariakoo,Ni , DVD HOME THEATER SOUND SYSTEM SA-PT850(PANASONIC)
Acha uzezeta,anzisha Uzi wakoView attachment 1858122
Earphones wireless hizi hapa dukani ingia hapa whatsapp [emoji1485] KINGS STORE & SERVICES kwa 25,000/= tu pia Tunafanya delivery kwa Dar Es salaam 0627468298
Mkuu, ni TSh. ngapi kubadili kioo cha Hisense 32" ...?hizo IC zinapatikana kariakoo,
nichek 0766428475 whatsapp