Ngoja mkome..!!
Si huwa mnaisaidia kuiba kura kwenye chaguzi . Na badooooo
Ngojeni kwanza na sisi ambao hatuja pata tupate kwanza ndio muanze maandamano
Serikali ya CCM haiwezi kuacha Utapeli kwa WALIMU wa Tanzania, kama huwezi kuamini kauli hii tazama mshahara waliokuongezea kupitia NMB mobile usiku huu. Wanachoweza kumuongeza Mwl wa Tanzania sio mshahara bali ni kubadilisha rangi ya T-shirt za Mei-Mosi. "UNGANA NA WALIMU WENGINE KULAANI DHURUMA NA UONEVU HUU KWA WALIMU WANYONGE WA TAIFA HILI, ambao wamechoshwa na viongozi & serikali uchwara wa CCM. Lazima ing'oke kwenye chagzi zijazo kwa laana hii kubwa
Serikali ya CCM haiwezi kuacha Utapeli kwa WALIMU wa Tanzania, kama huwezi kuamini kauli hii tazama mshahara waliokuongezea kupitia NMB mobile usiku huu. Wanachoweza kumuongeza Mwl wa Tanzania sio mshahara bali ni kubadilisha rangi ya T-shirt za Mei-Mosi. "UNGANA NA WALIMU WENGINE KULAANI DHURUMA NA UONEVU HUU KWA WALIMU WANYONGE WA TAIFA HILI, ambao wamechoshwa na viongozi & serikali uchwara wa CCM. Lazima ing'oke kwenye chagzi zijazo kwa laana hii kubwa
Ngoja mkome..!!
Si huwa mnaisaidia kuiba kura kwenye chaguzi . Na badooooo