Funga mwaka na King Kiba ebanaaa ehee hapo vepeee

Funga mwaka na King Kiba ebanaaa ehee hapo vepeee

Mbona kedrick anaanzisha thread za kijinga mnavunga kama haikuhusu kuwa mpole tu
Maana watu wanamwaga povu

Pwilo Mimi nashauri huyo mtu wenu muandalieni menehiment yenye akili. Maana inatumika nguvu nyingi kumnadi hata kwa kutukana wengine.

Nashauri pia, wale wanaojiita team Kiba wabadili msimamo kutoka kuwa maadui wa Mondi na kuwa wapenzi wa Kiba.

Naamini wakibadilika hivyo watamsaidia Kiba kwa kuhudhuria show zake na kununua kazi zake. Huu upenzi feki wa kuandika tu hauna maana na wala hamumsaidii Kiba. Kuweni wapenzi wa Kiba.
 
Pwilo Mimi nashauri huyo mtu wenu muandalieni menehiment yenye akili. Maana inatumika nguvu nyingi kumnadi hata kwa kutukana wengine.

Nashauri pia, wale wanaojiita team Kiba wabadili msimamo kutoka kuwa maadui wa Mondi na kuwa wapenzi wa Kiba.

Naamini wakibadilika hivyo watamsaidia Kiba kwa kuhudhuria show zake na kununua kazi zake. Huu upenzi feki wa kuandika tu hauna maana na wala hamumsaidii Kiba. Kuweni wapenzi wa Kiba.
Uwe unafikiria unapo andika team wema ndo wana huo ujinga na wengi ni wanawake sasa unavyoniambia mimi nimempenda kiba kwasababu namchukia diamond naona unachanganyikiwa maneno hayo waambie wana wake sio mimi na simchukii diamond ila ni shabiki wa kiba tatizo nini hapo?
 
Back
Top Bottom