kuna threed moja ilikuwa inauliza kuhusu zile mzinga 21 zinazopigwa, kwanini ni 21 na wala siyo 7,10, 20? Mchangiaji mmoja akareply " sababu magu.... Ngoja kwanza nimalizie kiroba. Sasa muuni mmoja akam'Quote..."UPO NA MBOWE?" akimaanisha wapo na mbowe wanakunywa viroba.Hii Kali.
ha!ha! Noma sana!kuna threed moja ilikuwa inauliza kuhusu zile mzinga 21 zinazopigwa, kwanini ni 21 na wala siyo 7,10, 20? Mchangiaji mmoja akareply " sababu magu.... Ngoja kwanza nimalizie kiroba. Sasa muuni mmoja akam'Quote..."UPO NA MBOWE?" akimaanisha wapo na mbowe wanakunywa viroba.
Kuna jamaa humu alicomment pumber, jamaa mmoja akam-quote, "UKO NA MBOWE??"
Unafikiri mbowe anaweza kufanya hivi?
Jamaa akajibu nenda kamuulize mbowe
Mbowe kaingiaje?
Ata hiloo nenda kamuulize
Funga mwaka kwa wale ambao walijifunza Kiingereza kwa vitabu vya mr and mrs daudi tu.
Hahaha namkumbuka huyo jamaa aliingia kwenye mada akasema "em nimalize kunywa viroba halafu nitarudi kuchangia" basi ndo wakamquote na kumuuliza kama yupo na mbowe. Nilocheka piaKuna jamaa humu alicomment pumber, jamaa mmoja akam-quote, "UKO NA MBOWE??"
Hata mimi nilicheka sana jana ,nilim quote emojiSasa Betty na Hamisi ndiyo waliompa jina la John? Vipi John yeye hakuoa na kama aliona mke wake ni nani maana naona umeeleza kuwa alihodhi majike yote, hiyo ni kusema alikuwa John alikuwa mhuni? 》》》》》 hii imenichekesha sana by Yaleyale.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
umegunduaNimegundua nini mkuu?