Namuona mbunge hapo...amepotea kweli Edwin SandaView attachment 537178
Pichani mbunge wa Mikumi, Professa J akiwa na rafiki yake kwenye send off ya mkewe tayari tayari kwa fungate hivi karibuni.
View attachment 537177
Pichani mke mtarajiwa wa professa, Bi Grace akiwa kwenye send off yake hivi karibuni.
View attachment 537179
Pichani wapendanao wakiwa kwenye mizunguko ya kila siku.
"Show me something natural like ass with some stretch marks"
Wadada wa mjini cku hz hawataki kabisa hayo mamichirizi...!!
Kendrick Lamar kwenye wimbo wa humble alijiimbia tu...
I'm so fucking sick and tired of the Photoshop...
Show me something natural like afro on Richard Pryor...
Show me something natural like ass with some stretch marks.
Naona mbunge mwanaHipHop hakumwelewa Kendrick
Mna uhakika ni la mchina??Mbona wema sepetu anayo mamichirizi from tako lamchina, hata michirizi yaeza kuwa feki
Ndo huyo huyo, inaitwa "uchumba sugu"Hivi huyu mwanamke ndio aliye zaa nae yule mtoto wa kike aliye nae au...
otherwise, kila la heri wajina
anhaaNdo huyo huyo, inaitwa "uchumba sugu"
500%Mna uhakika ni la mchina??
Ndio yeye...halafu mtoto mkubwa tu..miaka nenda rudi wanaishi unyumba..sendoff ya nini[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]Hivi huyu mwanamke ndio aliye zaa nae yule mtoto wa kike aliye nae au...
otherwise, kila la heri wajina
ila hivi kweli..hizo gharama wangeziokoa tuNdio yeye...halafu mtoto mkubwa tu..miaka nenda rudi wanaishi unyumba..sendoff ya nini[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Wkt it seem alishasepa kwao miakaa.
Wangebariki tu ndoa then kwisha
mwenyewe mbona amekiri na ni moja ya majuto yake.... wake up lolMna uhakika ni la mchina??
wanarudisha michango yao, lolNdio yeye...halafu mtoto mkubwa tu..miaka nenda rudi wanaishi unyumba..sendoff ya nini[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Wkt it seem alishasepa kwao miakaa.
Wangebariki tu ndoa then kwisha