Fungu la elimu ya Juu Zanzibar

Fungu la elimu ya Juu Zanzibar

Ndio hivyo kwani hamjui kujielimisha kuhusu mambo ya Muungano na Mambo yasiyo ya Muungano? Ndio ukweli huo.

Mwisho mkitaka Zanzibar isipate vunjeni Muungano na ondoeni TRA kule Zanzibar.

Sijajua unashangaa nini wakati hiyo ni muendelezo wa hakuna mbara kumiliki Ardhi Zenji ila Wazenji lazima wamiliki Ardhi Bara.

Ndio makubaliano ya Muungano,kwani ukienda kuposa unapangiwa utaratibu hutaki acha vunja ndoa.

By the way Zanzibar inaibiwa au kudhulumiwa zaidi na Bara kuliko hicho wanachopakwa nacho Mafuta ndio maana hata Kesho Muungano ukivunikia Wazanzibar watafanya sherehe ,mnawacheoewesha kuwa kamaa Mauritius.
Hunaga akili
 
Sahihi kabisa
Kama TRA wanakusanya kodi huko Zanzibar, sasa mbona wanatoza tena ushuru/kodi katika bandari za Tanganyika vitu vinavyoingizwa kutoka Zanziba? Si wabunge walilalamika ila serikali inasema huo ni urongo. Hata wenye vitu zaidi ya kimoja bandarin ukifanya ujanja kuomba mtu ashike kingine kuepuka kodi kumbe wao wanafuatilia toka unapoingiza mzigo huko Zabzibar. Sasa ni vipi wafuatilie huku kama wako huko tayari
 
Mh Saada Mkuya
Bajeti ya SMZ June 2023


'' 18. Mheshimiwa Spika, kwa kutambua , umuhimu wa suala hili kisiasa,
Viongozi wetu Wakuu Dkt. Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri
ya Muungano wa Tanzania na Dkt.Hussein Ali Mwinyi, Rais wa
Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, waliagiza kwa
pande zote mbili kukaa pamoja na kuangalia misingi na vigezo
vya kitaalamu vitakavyokuwa bora katika ugawaji wa rasilimali hizo
kwa pande zetu mbili. Baada ya Kamati za Kitaalamu za Serikali
ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Serikali ya Mapinduzi
ya Zanzibar kukaa kwa pamoja na kulifanyia kazi suala hilo,
mapendekezo yaliyozingatia vigezo vya kiuchumi, kiutawala pamoja
na uwezo wa kukopa, yamewasilishwa na kupokelewa na Serikali
ambapo kuanzia sasa, mgao wa GBS kwa Zanzibar umeongezeka
na kufikia asilimia 9 badala ya asilimia 4.5 iliyokuwepo awali.''
 
Chanzo: Tovuti ya Baraza la Wawakilishi
Bajeti ya SMZ June 2023
Saada Mkuya Salum

''19. Mheshimiwa Spika, kwa namna ya kipekee, kwa niaba ya Waziri wa
Fedha na Mipango Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba, nachukua fursa
hii, kuipongeza kwa dhati, Kamati ya Wataalamu waliolisimamia
jambo hili hadi kufikia makubaliano. Aidha, tunawashuruku na
kuwapongeza kwa dhati, Dkt. Samia Suluhu Hassan Rais wa
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Dkt. Hussein Ali Mwinyi
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi kwa
umahiri na umakini wao pamoja na uthubutu wa kusimamia uchumi,
ustawi wa jamii na maendeleo katika Jamhuri ya Muungano wa
Tanzania. Nikweli usiofichika kuwa Zanzibar inafaidika ikiwa ni
sehemu ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania……….!! ”Kazi
Inaendelea”…... na hakuna atakaebisha kuwa Yajayoooo…! “Ni
Neema Tupu”….!! ''
 
TRA na mamlaka zingine za Muungano zinafanya nini Zanzibar zaidi ya kukusanya pesa zao? So Kwa nini Wazanzibar wasiwe na Chao kwenye Muungano wakati hela zao zinachukuliwa?
Huna uelewa

TRA wanakusanya mapato lakini hayavuki bahari. Huo ndio ukweli wala hauna ubishi
Takwimu za BoT na kwingine zipo wazi

Kwa taarifa yako hata pesa za ''Uhamiaji' haziingii hazina ingawa Uhamiaji ni jambo la Muungano tena wafanyakazi wa Uhamiaji Zanzibar na majengo n.k. yakigharamiwa na JMT.
 
Huna uelewa

TRA wanakusanya mapato lakini hayavuki bahari. Huo ndio ukweli wala hauna ubishi
Takwimu za BoT na kwingine zipo wazi

Kwa taarifa yako hata pesa za ''Uhamiaji' haziingii hazina ingawa Uhamiaji ni jambo la Muungano tena wafanyakazi wa Uhamiaji Zanzibar na majengo n.k. yakigharamiwa na JMT.
Nikajua umeweka hizo takwimu zinazosema hazivuki Bahari.

Wewe acha ujinga,TRA sio wakala wa SMZ,pesa zote zinaingia Hazina migao inaanza.

Mwisho kama haziingii,Zinaenda wapi?
 
Nikajua umeweka hizo takwimu zinazosema hazivuki Bahari.

Wewe acha ujinga,TRA sio wakala wa SMZ,pesa zote zinaingia Hazina migao inaanza.

Mwisho kama haziingii,Zinaenda wapi?
Twambie mwaka 2023 kiasi gani kimeletwa?
Kwa mujibu wa Gavana wa BoT marehemu Ndulu Zanzibar haijachangia Muungano kwa miaka 40

2. Kasome Bajeti ya SMZ 2023/2024 inaeleza TRA Zanzibar itakusanya 450B na hizo ni sehemu ya Bajeti.
Hakuna mahali inasemwa itapewa 450 kutoka Dar es Salaam, ikiwa ni ushahidi wanachokusanya ndicho wanachotumia.

Hata pesa za ''visa' hazivuki sembuse , yaani Watumishi wa Uhamiaji wanalipwa na JMT ambayo ni Tanganyika.
Mwaka jana JMT imejenga majengo kule Zanzibar lakini mapato yanabaki huko.
Anayesema haya ni Mwenyekiti wa ACT Wazalendo Makamu wa kwanza wa Rais Bw. Masoud Othman, akisema Uhamiaji imeondolewa katika mambo ya Muungano.

Wazanzibar mumebanwa hamna pa kutokea! hamna mchango wowote !

Rais SSH na Rais Mwinyi wameongeza pesa kutoka 4.5% hadi 9% kwa mujibu wa Saada Mkuya, Waziri ofisi ya Rais na nimekuwekea maneno yake katika bajeti hapo juu.

Ni hivi, Bajeti ya JMT ambayo ni ya Tanganyika, Zanzibar inapewa 9%, piga hesabu
Kwa mujibu wa Saada Mkuya Bajeti ya SMZ imeongezeka kwa 43% mwaka 2024/2025 kiwango ambacho hakiwajawahi kutokea! Yaani sasa imeongezeka almost 50%.

Jiulize ni sheria gani iliyotumika kuongeza kiwango hicho? Nani alikuwa mwakilishi wa Tanganyika?
 
Katika mambo 11 ya Mkataba wa Muungano wa mwaka 1964 Elimu ya Juu haikuwepo.
Marehemu Samwel Sitta alieleza jinsi Elimu ya Juu ilivyofanywa suala la Muungano mwaka 1973 ndani ya Bunge

Rasimu ya Warioba kwa kuzingatia makubaliano ya mwaka 1964 Elimu ya Juu si muungano.

Wazanzibar wanalalamika ni moja ya mambo yaliyoingizwa kinyemela na kufikia 22 au 40 kwa mujibu wa Maosud Othman. Wazanzibar wanasema ukweli kwasababu haikuwepo katika mambo 11 ya Muungano

Bandari ilikuwepo, ndio maana ilipoondolewa Watanganyika wakahoji ni kwa utaratibu gani Zanzibar inaweza kunyofoa mambo kienyeji? Na hapa ndipo hoja inapokujwa kwamba
1. Kwavile si moja ya yale 11 ya Muungano, Elimu ya Juu imeingizwa kinyemela na Wazanzibar wana haki ya kulalamika. Iondolewe katika mambo yasiyo ya Muungano.
2. Ikiwa bandari ilikuwa ni Muungano na Zanzibar ikaondoa, hakuna sababu za kuacha Elimu ya Juu iliyoingizwa kinyemela, nayo pia iondolewe

Lakini pia kuna hoja, kwanini katika Elimu ya Juu Zanzibar wawe na upendeleo wa mikopo, nafasi n.k
Kwanini Elimu ya Juu Zanzibar iwe kwa Wazanzibar tu! Mtanganyika ni kama raia mwingine wa kigeni.

Na mwisho, ikiwa Elimu ya Juu ni ya Muungano, kwanini Zanzibar wana Wizara ya Elimu ya Juu.
 
Twambie mwaka 2023 kiasi gani kimeletwa?
Kwa mujibu wa Gavana wa BoT marehemu Ndulu Zanzibar haijachangia Muungano kwa miaka 40

2. Kasome Bajeti ya SMZ 2023/2024 inaeleza TRA Zanzibar itakusanya 450B na hizo ni sehemu ya Bajeti.
Hakuna mahali inasemwa itapewa 450 kutoka Dar es Salaam, ikiwa ni ushahidi wanachokusanya ndicho wanachotumia.

Hata pesa za ''visa' hazivuki sembuse , yaani Watumishi wa Uhamiaji wanalipwa na JMT ambayo ni Tanganyika.
Mwaka jana JMT imejenga majengo kule Zanzibar lakini mapato yanabaki huko.
Anayesema haya ni Mwenyekiti wa ACT Wazalendo Makamu wa kwanza wa Rais Bw. Masoud Othman, akisema Uhamiaji imeondolewa katika mambo ya Muungano.

Wazanzibar mumebanwa hamna pa kutokea! hamna mchango wowote !

Rais SSH na Rais Mwinyi wameongeza pesa kutoka 4.5% hadi 9% kwa mujibu wa Saada Mkuya, Waziri ofisi ya Rais na nimekuwekea maneno yake katika bajeti hapo juu.

Ni hivi, Bajeti ya JMT ambayo ni ya Tanganyika, Zanzibar inapewa 9%, piga hesabu
Kwa mujibu wa Saada Mkuya Bajeti ya SMZ imeongezeka kwa 43% mwaka 2024/2025 kiwango ambacho hakiwajawahi kutokea! Yaani sasa imeongezeka almost 50%.

Jiulize ni sheria gani iliyotumika kuongeza kiwango hicho? Nani alikuwa mwakilishi wa Tanganyika?
Zanzibar haiwezi kusanya Mapato yake Kupitia ZRA harafu ilete kwenye Muungano wakati TRA wanakusanya pesa Zanzibar,huo ujinga mtafanya nyie sio Wazanzibar.

Hizo hizo 450B ndio mchango wa Zanzibar kwenye Muungano maana hata staff wa huko sio wote Wazanzibar wapo Wabara kibao tuu,the likes na kwenye taasisi zingine mfano za Utalii ,Uhamiaji,Mambo ya Nje ,mambo ya ndani nk.

Mwisho stori hizo zingine zooite hazinihusu na ni ujinga Kwa sababu wanabembeleza Muungano ni Bara sio Zanzibar kama mna jeuri vunjeni.

My Take: Mimi ni Mbara wa Njombe sio Mzanzibari
 
Zanzibar haiwezi kusanya Mapato yake Kupitia ZRA harafu ilete kwenye Muungano wakati TRA wanakusanya pesa Zanzibar,huo ujinga mtafanya nyie sio Wazanzibar.

Hizo hizo 450B ndio mchango wa Zanzibar kwenye Muungano maana hata staff wa huko sio wote Wazanzibar wapo Wabara kibao tuu,the likes na kwenye taasisi zingine mfano za Utalii ,Uhamiaji,Mambo ya Nje ,mambo ya ndani nk.

Mwisho stori hizo zingine zooite hazinihusu na ni ujinga Kwa sababu wanabembeleza Muungano ni Bara sio Zanzibar kama mna jeuri vunjeni.

My Take: Mimi ni mjinga wa Njombe sio Mzanzibari
Bajeti ya Zanzibar inasema TRA imechangia 450 B

Kuhusu wafanyakazi hiyo ni kwa faida ya Wazanzibar. TRA na Uhamiaji zinaajiri Wazanzibar wengi kuliko Zanzibar.
Mfano, Wahitimu wa Uhamiaji pale Tanga kutoka Zanzibar ni 50, kuna port of entry ngapi za kuajiri watu 50 kwa wakati mmoja kule Zanzibar. Rais SSH alisema waletwe Bara

Kamuulize Saada Mkuya aliyesema yote hayo
Jiulize kama TRA wakusanya huko ile GBS mbona ni kubwa kuliko hizo pesa? unajua GBS au nimekuumiza

Tuonyeshe bajeti ya jeshi, mambo ya ndani., nje, Wabunge na taasisi za muungano kutoka Zanzibar! zero
Bado Zanzibar inapewa 9% ya bajeti ya Tanganyika! ni Trilioni, halafu utuambie eti bilioni 450

Mnaelezwa kwa uwazi tu, hamna mchango wowote, zero! ni mabingwa wa kudai tu.
 
Bajeti ya Zanzibar inasema TRA imechangia 450 B

Kuhusu wafanyakazi hiyo ni kwa faida ya Wazanzibar. TRA na Uhamiaji zinaajiri Wazanzibar wengi kuliko Zanzibar.
Mfano, Wahitimu wa Uhamiaji pale Tanga kutoka Zanzibar ni 50, kuna port of entry ngapi za kuajiri watu 50 kwa wakati mmoja kule Zanzibar. Rais SSH alisema waletwe Bara

Kamuulize Saada Mkuya aliyesema yote hayo
Jiulize kama TRA wakusanya huko ile GBS mbona ni kubwa kuliko hizo pesa? unajua GBS au nimekuumiza

Tuonyeshe bajeti ya jeshi, mambo ya ndani., nje, Wabunge na taasisi za muungano kutoka Zanzibar! zero
Bado Zanzibar inapewa 9% ya bajeti ya Tanganyika! ni Trilioni, halafu utuambie eti bilioni 450

Mnaelezwa kwa uwazi tu, hamna mchango wowote, zero! ni mabingwa wa kudai tu.
Vikosi vya SMZ,KMKM Huwa unalipa wewe?

Swali; Kuna Mzanzibari aliwahi kuja Bara akasema anahitaji Muungano?

Wewe Kwa akili Yako hujiulizi Kwa nini Bara wanalazimisha Muungano? Jibu ni wanafaidika kuliko wanachotoa ,by the way hawatoi pesa zote zinatoka Zanzibar.

Kama mna jeuri , vunjeni Muungano tuone au umesikia Wazanzibar wanataka Muungano? 🤣🤣🤣🤣

Hata Rais wa Zenj mnawazuga yule Mwinyi ni Mtanganyika.

Badala ya kulia lia kama mtoto ni Bora Waendelee kuongeza hizo GBS Hadi mkome,si mlitaka Muungano ndio Raha na gharama zake hizo.
 
Ni wapi na lini Zanzibar imewahi lipiwa Mkopo na Tanganyika?

Zanzibar Inachukua Mkopo Kwa mgongo wa Tanzania yenyewe kama yenyewe hairuhusiwi Kwa sababu sio Nchi yenye mamlaka kamili.

Na Mkopo ni jambo la Muungano Kila upande unalipa.

Kama Zanzibar hailipi,TRA,Uhamiaji,Majeshi nk wanafanya nini Zanzibar?

Hiyo ya 4.5% to 9% ni uzushi na kama ni ukweli mwambie aweke ushahidi hapa tuone.

Mwisho Wabunge wapo Kwa mujibu wa makubaliano

Zanzibar kukusanya Mapato Yao sio kesi,kwani Halmashauri za Bara Huwa hazikusanyi Mapato Yao ya ndani? TRA Huwa wako wilayani kufanya nini Sasa kama Halmashauri zinakusanya Mapato Yao?

Hivyo hivyo jibu swali,kama Zanzibar Wana ZRA Yao,TRA wanafanya nini kule? Au wako kama pambo hawakusanyi Mapato? [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Hiyo ya Zanzibar kupewa 9% badala ya 4.5% ni hakika labda kama umebweteka hufuatilii taarifa mbalimbali.

Taarifa iliwekwa wazi, hata kwenye ule mkopo wa Covid 19 ilielezwa wazi kwa kuzingatia hivyo vigezo vipya vya Samia.
 
TRA wanawafanyia assessment mpaka walipakodi wadogo wa huku Zanzibar

Tatizo unakimbilia kujibu kabla ya kusoma na kuelewa. TRA Zanzibar, inakusanya kodi Zanzibar lakini pesa inayokusanywa haipelekwi kwenye kapu la Muungano badala yake inatumika yote huko huko kugharamia mambo ambayo ni ya Muungano Zanzibar. Na huwa haitoshi, hivyo Tanganyika kulazimika kupeleka pesa nyingine Zanzibar iliyokusantwa Tanganyika.
 
Mh Saada Mkuya
Bajeti ya SMZ June 2023


'' 18. Mheshimiwa Spika, kwa kutambua , umuhimu wa suala hili kisiasa,
Viongozi wetu Wakuu Dkt. Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri
ya Muungano wa Tanzania na Dkt.Hussein Ali Mwinyi, Rais wa
Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, waliagiza kwa
pande zote mbili kukaa pamoja na kuangalia misingi na vigezo
vya kitaalamu vitakavyokuwa bora katika ugawaji wa rasilimali hizo
kwa pande zetu mbili. Baada ya Kamati za Kitaalamu za Serikali
ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Serikali ya Mapinduzi
ya Zanzibar kukaa kwa pamoja na kulifanyia kazi suala hilo,
mapendekezo yaliyozingatia vigezo vya kiuchumi, kiutawala pamoja
na uwezo wa kukopa, yamewasilishwa na kupokelewa na Serikali
ambapo kuanzia sasa, mgao wa GBS kwa Zanzibar umeongezeka
na kufikia asilimia 9 badala ya asilimia 4.5 iliyokuwepo awali.''

Huyo Sunk siyo mfuatiliaji wa mambo, anahemka tu.
 
Back
Top Bottom