Zainab j
JF-Expert Member
- Sep 24, 2018
- 1,817
- 2,362
Wakuu morning,
Hivi fungu la kumi kwa wakristo na Waislamu linatolewa ipasavyo kweli, mbona level ya umasikini kwenye jamii inaongezeka.
Au huwa ZAKA hailekezwi kwa masikini Kama inavyotakiwa?
Waislamu nasikia wao zaka ni kwajili ya masikini, wakristo pia nasikia ZAKA nikwajili ya wachungaji sijui na Walawi,sikwajili ya masikini, je ukweli upoje
Hivi fungu la kumi kwa wakristo na Waislamu linatolewa ipasavyo kweli, mbona level ya umasikini kwenye jamii inaongezeka.
Au huwa ZAKA hailekezwi kwa masikini Kama inavyotakiwa?
Waislamu nasikia wao zaka ni kwajili ya masikini, wakristo pia nasikia ZAKA nikwajili ya wachungaji sijui na Walawi,sikwajili ya masikini, je ukweli upoje