Inaonesha ni namna gani mapenzi yana nguvu sana, jana asubuhi nilimsikia mdada wa clouds kwenye PB anamuuliza Gerald Hando if he ca walk a thousands miles for someone he loves, hapo ndio nilijua watu wengi wanaumizwa, unajua alimjibuje, yeye hawezi tena mambo hayo na wala hataki kabisa kupenda, eti unaweza tembea hizo miles ukamkuta kule yule unayemtembele keshafika amemtembelea mwingine, nilicheka sana sana sana.....ukisikia watu kama hao watangazaji wanasema hivo kuhusu mapenzi, hapo unajua kabisa kwamba watu wengi wanaumizwa sana, kwa hiyo tusikate tamaa ya ku move on