1.Nilinusurika kufa baharini-msasani beach nilikuwa sijui kuogelea vzr nikaenda maji ya kimo cha shingo badaye maji yakarudi kwa kasi na kunifunika ile kujiokoa nikabanwa na misuri ya miguu.nimenusurika ajali nyingi lakini hi sito isahau.
2.nilisafiri kutoka msoma mpaka dar kwa shs elf 13 baada ya kutofautiana na mama nikiwa na miaka 18 baada ya kumaliza form 4 Mara sec-musoma, matokeo ya form 4 ya kupangiwa shule nikapangiwa huko huko dar
3.nilikuwa najisemea kuwa nikimaaliza chuo sitoka kaa zaidi ya miezi 2 bila kuajiliwa,kweli maneno yanaumba baada ya miezi 1 na wiki 2 toka kumaliza chuo interview yangu ya kwanza nikapata kazi.