Funguka kitugani hutakuja kukisahau katika maisha yako

Funguka kitugani hutakuja kukisahau katika maisha yako

Wale Inzi Walikuwa Wanamjalia Nini Ktk Suruali Yake? Kilichowafanya Mumzunguke Pale Na Haraka Kumpeleka Uani Na Kumbadilisha Suruali Yake Ilikuwa Ni Sababu Gani? Kwanini Suruali Ililowa Upande Mmoja Tu Wa Mapajani? NAOMBA LEO IWE MWISHO KUULIZWA HILI SWALI Na Kama Huamini Nini KILITOKEA Pale Geita MTAFUTE Yule Aliyekuwa MC Wenu au Mtafute MLINZI Wake Mkuu Ambaye Zamani ALIKUWA Ni Mmoja Wa WALINZI Wa Hayati Baba Wa Taifa Atakufafanulia Zaidi Na Kama Utakuwa Huna Namba Zao Ni PM Nikupe Ili Uwatafute WAKUPE HABARI KAMILI Kwani Hiki Nilichokiweka Hapa Ni MUHTASARI Tu. Otherwise Nisalimie Sana Hawa Watu Wafuatao Kwa Umuhimu Wao Ambao Ni Fredrick Sumaye, Kingunge Ngombare Mwiru, Joseph Mungai, Lawrence Masha, Lembeli Na Tambwe Hizza Na Waambie Wakae Kimya Hivyo Hivyo Kwani MWANAMUME ALIYEINGIA JANA HANA KUREMBA REMBA Kama MSTAAFU Na HACHELEWI KUKINUKISHA Na Hata Jana Kawaambieni Kuwa " MIMI DOKTA JOHN POMBE JOSEPH MAGUFULI NDIYE Rais ". Mtanyooka Tu!
Ndug nakushaur tukutane kwenye jukwaa la siasa
 
Wale Inzi Walikuwa Wanamjalia Nini Ktk Suruali Yake? Kilichowafanya Mumzunguke Pale Na Haraka Kumpeleka Uani Na Kumbadilisha Suruali Yake Ilikuwa Ni Sababu Gani? Kwanini Suruali Ililowa Upande Mmoja Tu Wa Mapajani? NAOMBA LEO IWE MWISHO KUULIZWA HILI SWALI Na Kama Huamini Nini KILITOKEA Pale Geita MTAFUTE Yule Aliyekuwa MC Wenu au Mtafute MLINZI Wake Mkuu Ambaye Zamani ALIKUWA Ni Mmoja Wa WALINZI Wa Hayati Baba Wa Taifa Atakufafanulia Zaidi Na Kama Utakuwa Huna Namba Zao Ni PM Nikupe Ili Uwatafute WAKUPE HABARI KAMILI Kwani Hiki Nilichokiweka Hapa Ni MUHTASARI Tu. Otherwise Nisalimie Sana Hawa Watu Wafuatao Kwa Umuhimu Wao Ambao Ni Fredrick Sumaye, Kingunge Ngombare Mwiru, Joseph Mungai, Lawrence Masha, Lembeli Na Tambwe Hizza Na Waambie Wakae Kimya Hivyo Hivyo Kwani MWANAMUME ALIYEINGIA JANA HANA KUREMBA REMBA Kama MSTAAFU Na HACHELEWI KUKINUKISHA Na Hata Jana Kawaambieni Kuwa " MIMI DOKTA JOHN POMBE JOSEPH MAGUFULI NDIYE Rais ". Mtanyooka Tu!

Alafu we jamaa wewe akili yako haina tofauti na kondoo.
 
Duuh hiyo nayo kali.. mwisho wa siku ukawapigia magoti kuomba wakunusuru na kichapo ..sawa sawa

Unafkili walinielewa af cha ajabu ule mchepuko ndo ulikuwa na hasira kuliko MWENYE mari ilibid rafk ang alie kuwa nje aje kuvunja mlango na kumshika m1 dah! Nilisikia aibu sana
 
1.Nilinusurika kufa baharini-msasani beach nilikuwa sijui kuogelea vzr nikaenda maji ya kimo cha shingo badaye maji yakarudi kwa kasi na kunifunika ile kujiokoa nikabanwa na misuri ya miguu.nimenusurika ajali nyingi lakini hi sito isahau.
2.nilisafiri kutoka msoma mpaka dar kwa shs elf 13 baada ya kutofautiana na mama nikiwa na miaka 18 baada ya kumaliza form 4 Mara sec-musoma, matokeo ya form 4 ya kupangiwa shule nikapangiwa huko huko dar
3.nilikuwa najisemea kuwa nikimaaliza chuo sitoka kaa zaidi ya miezi 2 bila kuajiliwa,kweli maneno yanaumba baada ya miezi 1 na wiki 2 toka kumaliza chuo interview yangu ya kwanza nikapata kazi.


jamani mimeipenda testimony yako. Naongeza ya kwangu hapahapa,

Sitasahau tarehe 6/6/2010 nilipata ajali ya ajabu mitaa ya sanawari. gari dogo aina ya Corrolla nilinifuata pembeni nilikokuwa natembea zangu polepole kwa miguu kuelekea kanisani, nilianguka chini na gari likaja juu yangu. Cha kushangaza niliokotwa chini ya uvungu wa gari nikiwa salama na mikwaruzo midogo midogo tu.

SITOKAA NIISAHAU HII AJALI, and I always give praise to my Lord Jesus Christ.
 
Nlisingiziwa kitu mwaka 2000 nkiwa std 5 nilishasamehe ila nashindwa kusahau, mwaka huu tena nmesingiziwa kitu kinaniuma sana sana nashindwa kusahau sijui kama nitasahau


pole Evelyn Salt, jambo la kusingiziwa linauma sana na ni vigumu kulisahau. Mwombe Mungu akupe faraja ya moyo wako usonge mbele wala usijali.
 
Sitosahau kamwe bao la mkono lililofungwa na ccm mwaka huu..
 
Sitasahau siku niliyofunga ndoa na mtu nisiyempenda,
Watu walikua na furaha lkn mimi nilikua na majonzi sana.
 
pole Evelyn Salt, jambo la kusingiziwa linauma sana na ni vigumu kulisahau. Mwombe Mungu akupe faraja ya moyo wako usonge mbele wala usijali.

Aisee linauma mfano hakuna, ahsante yani siku hiyo hadi nikawawaza wafungwa wanasingiziwa.... Dah kusingiziwa kitu inauma sana na kiubinadamu huwezi jitetea ukaeleweka
 
Kuchaguliwa kifamilia, bad thing I hv some1 I love ila isikie kwa mwenzio, omba yasikukute... Yap bado tupo.

Sorry we ni jinsia gani? Mwanamke anajifunza kupenda mwanaume haipo hiyo.... Pole sana ngekua mie nisingekubali aisee tena na hivi ni shinikizo la watu hapana kuishi na mtu usiempenda ni kazi
 
Back
Top Bottom