Wale Inzi Walikuwa Wanamjalia Nini Ktk Suruali Yake? Kilichowafanya Mumzunguke Pale Na Haraka Kumpeleka Uani Na Kumbadilisha Suruali Yake Ilikuwa Ni Sababu Gani? Kwanini Suruali Ililowa Upande Mmoja Tu Wa Mapajani? NAOMBA LEO IWE MWISHO KUULIZWA HILI SWALI Na Kama Huamini Nini KILITOKEA Pale Geita MTAFUTE Yule Aliyekuwa MC Wenu au Mtafute MLINZI Wake Mkuu Ambaye Zamani ALIKUWA Ni Mmoja Wa WALINZI Wa Hayati Baba Wa Taifa Atakufafanulia Zaidi Na Kama Utakuwa Huna Namba Zao Ni PM Nikupe Ili Uwatafute WAKUPE HABARI KAMILI Kwani Hiki Nilichokiweka Hapa Ni MUHTASARI Tu. Otherwise Nisalimie Sana Hawa Watu Wafuatao Kwa Umuhimu Wao Ambao Ni Fredrick Sumaye, Kingunge Ngombare Mwiru, Joseph Mungai, Lawrence Masha, Lembeli Na Tambwe Hizza Na Waambie Wakae Kimya Hivyo Hivyo Kwani MWANAMUME ALIYEINGIA JANA HANA KUREMBA REMBA Kama MSTAAFU Na HACHELEWI KUKINUKISHA Na Hata Jana Kawaambieni Kuwa " MIMI DOKTA JOHN POMBE JOSEPH MAGUFULI NDIYE Rais ". Mtanyooka Tu!