Jirani Heaven Sent unaitwa hukuHeaven sent
Sasa ntapigaje goti mbele ya kioo jamani! Hao wazee watakua wakoloni sasa cha
kui njoo uone naanza kutishiwa humu
Maana naona story zimekukolea una hamuuuuuu, ukikutana na kibamia utoe mrejesho.
[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
You were rightMademu type ya akina "Divine" hakika wamehadimika "nowadays" .... hata humu JF ni wa kuhesabu .... [emoji112] [emoji112] [emoji112] 2u .... keep it up
Still reading poemswapi Preta?
Zinaota sana tu!!atoto asikutishe wifi mwaya,hamna noma wala nini we jitose tu. I promise U won't regret. 🙂
Hahahah!, unakimbia nini hebu rudi hapa nikupe vipande vyako. Eti kimboga, toka lini masamaki ya Li viktoria yakaotesha mboga?!, kaone kwanza..
We si ulinikataa? Wenzako wala....Ooooh poor babu!!
Hahahaaaa!! Na wenzio wanakulia.We si ulinikataa? Wenzako wala....
Waambie wale kwa amani... ila wambakishie babuHahahaaaa!! Na wenzio wanakulia.
[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
Haya babu.Waambie wale kwa amani... ila wambakishie babu