Funguka mwanamke unaempenda humu JamiiForums

Funguka mwanamke unaempenda humu JamiiForums

Japo kwenye Uzi sehemu kama hizi sio mchangiaji sana, jopo kwakweli yupo niliyemzimikia sana ila naogopa kumtaja jamani.....!!!

Nahisi atakuwa na mtu wake ......!!!
[emoji126][emoji179] [emoji187] [emoji180]
Njoo usijali
Mitala kwetu Tanga ruksa
 
Daaah miezi sita sasa niko na mwanamke wa JF !!

Nakupenda mwaya [emoji8][emoji8][emoji8][emoji8]
 
Back
Top Bottom