Funguka: Tangu uanze kutongoza/kutongozwa hapa JF, umefanikiwa mara ngapi?

Inaonekana ata maana ya kutongoza hujui/huelewi aliyekwambia kutongoza ni kumfuata mtu pm na kumwambia unampenda nani??

Kutongoza kwa hivyo kwa wale jamii ya pimbi na huwa wanaishia vibuti vya mbavuu..
 
Sijawahi ata kum Pm mtu ila kuna tabasamu la MTU flani linanishawishi tatizo inaweza kuwa ni avatar tu
Aliwazalo mjinga ndilo litakalo mpata kutongoza siyo kuoa au kumgegeda mtu..!
 
Mimi sijawahi hata kutongoza humu jf wala sina rafiki yyte humu ambae tunaongea njee ya jf au kuwahi kukutana!!
 
Wamekusikia mkuu wenye ujumbe wao me ndio mana mambo hizi naogopa sana yaan acha tuendelee kuwa waoga tu mtu anataka kukujua ili akuchunguze ulivyo akuje kukubandika bango ndio mana hata pm tumefunga kuogopa hizi mambo
Hizi mambo zinafanya watu tuogopane kuonana nje ya jf
 
Wamekusikia mkuu wenye ujumbe wao me ndio mana mambo hizi naogopa sana yaan acha tuendelee kuwa waoga tu mtu anataka kukujua ili akuchunguze ulivyo akuje kukubandika bango ndio mana hata pm tumefunga kuogopa hizi mambo
Hivi wanawake wenyewe huwa hawachagui wanapotongozwa au ni wanaume tu? Mbona wanaume wengi wakitufuata wananuka midomo, vikwapa utazani wanatembea na mazizi ya nguruwe mbona hatutoi mabango humu, kama hawana kifua barabarani mbona wapo wengi kope mpaka kwenye nyusi wangewafuata hao
 
Ushawaona eee
Waungwana wenyewe tulipewa ilani kama jando kwamba siri ya mtungi aijuaye kata.

Ikizidi sana, mambo ya kiumeni huongewa kiumeni.

Sasa iweje siri ya mtungi uende kuitangaza kwa kijiko, uma, sahani mpaka barabarani wapita majia wote waijue?

Ukiona mwanamme anatangaza hivyo ujue hajapata mafunzo ya uanaume huyo.

Hawa ndio wale msichana akiwaambia "nipe picha ya dudu lako nione kama kubwa" wanampigia na kumtumia.
 
Aisee mna moyo kutongoza binadamu wasiojulikana
Si ajabu huwa wanatongozana wanaume kwa wanaume bila kujijua kama kukimbiza mwizi gizani unaweza kimbizana baba na mwana mnajikuta mnakimbilia nyumba moja
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ulweso
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…