Fungus ambao wananisumbua mwaka wa pili sasa, nimemaliza hela nyingi na nimetumia dawa nyingi sana ila sijapona

Pole Mkuu kama umepima Damu Full blood picture na hakuna maradhi yailiyo onekana basi utakuwa una maradhi ya kichawi umefanyiwa uchawi na maaduwi zako kwa dawa za hospitali huwezi kupona kwa dawa za asili unaweza kupona uguwa pole.

Mzee wa porojo!
 
Jaribu kutibu scabies. Watu wengi huwa hawafikirii hili tatizo lakini linasumbua sana. Tafuta lotion ya BBE na ogea sabuni ya Tetmosol.
Naomba kujua ubora wa hiyo sabuni ya tetmosol mkuu
 
Na mimi nimeipata hii kitu sasa hivi..

Nilikua dar es salaam kama wiki tatu zilizopita .. mwishoni kwenye tarehe 13-15 january maji yakawa ya shida ikabidi niogee maju ya kwenye kisima (wenyeji hua wanasema ni macahfu wao hutumia chooni na kufulia)..

Sasa nimekuja mkoani nashangaa usiku mwili unawasha sana,, na pia ivyo vipele vimenitokea kidogo baadhi ya sehemu za mwili..

Na hata kwenye uume ndo vimetokea vikubwa kiasi(kama malengelenge)...
 
Kaka naomba mrejesho
 
Hii iliwah nitokea nami..... nilikua ninawashwa mikono ...makwapa mpka mboo na inatoa tuvipele hospital nikienda kupima stds wapi......

Kuna mmama mmoja ni doctor mstaaf nilimwelezea akaniambia vuta kumbukumbu nani ume sex nae mala ya mwisho ndo ugonjwa ukaanza...

Bas nikakumbuka bint mmoja hiv chibongeee .....doctor akaniambia sio kwa ubaya lakin ....kama umepima na ukuwa na ugonjwa wowote..yule mwanamke ana..acid nyingi yawezekana pia zimekuingia mwilin wapo watu wa dizain hii.


Solution pata mlo kamili ..matunda maji mengi.... chakula cha proton nyingi ....zidisha usafi wa mwili vaa boxsa za cotton pana ..na usiludie boxsa pind uvaapo... na zianike Juan...ukifua.,

Mafuta ya kupaka tumia ya nazi hasa parachute ndio mazur zaid ..... sabun tumia za kawaida kwa sasa kama kipande maana bacteria washakua sugu ndan nje ....

Lakin kubwa zaid kiroho ...kila ukioga changanya maji na chumvi ya mawe mwez mzima ..... afu lud na majib
Tatzo la ngoz nilishalisahau muda tu mwilin mwangu.
 
Jaribu kutibu scabies. Watu wengi huwa hawafikirii hili tatizo lakini linasumbua sana. Tafuta lotion ya BBE na ogea sabuni ya Tetmosol.
Lindane ( Scaboma Lotion ) ilinisaidia sana kutibu Scabies, ila anatakiwa ajirizishe kuwa ni Scabies kwa sababu Iyo Lotion ina takiwa iwe ni last option ikiwa njia zote zimeshindikana.
Kama sio Scabies ,
Tumia Bicarbonate of Soda hiyo kama unasumbuliwa na Miwasho sehemu za siri

Chukua kijiko kimoja cha bicarnonate of soda, tia kwenye lita moja au mbili za maji kisha osha maeneo yenye muwasho walau asubuhi na usiku au kila unapotoka haja

Vaa nguo za ndani (cotton) pia pendelea kuwa mkavu maeneo ya sehemu nyeti maana uwepo wa unyevuvyevu sehemu za siri husababisha fangasi / bakteria kupata mazingira ya kukua na kuzaliana kwa wingi.

Kumbuka,

Ili uepuke hizi kero, ni vyema kwanza ujitahidi kuwa mtu wa kunywa maji walau lita moja kila siku

.....kunywa maji inakusaidia kukojoa na kuwaondoa idadi kubwa ya bakteria au fangasi kupitia mkojo.
Nimepata Fb ktk page ya Asili yetu Africa.
 

Attachments

  • FB_IMG_1732684520179.jpg
    35 KB · Views: 3
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…