Seeker Seeker
JF-Expert Member
- Dec 15, 2020
- 213
- 298
Habari,
Hali ya fungus za sehemu za siri imenitesa kwa mda mrefuuu sana.
Nimeenda hospital zaidi ya 4 unapewa tu dawa ukatumie pasipo vipimo!
Ukishatumia unakaa kama mwezi wanapotea alafu wanarudi tena.
Sasa hivi wameanza kunisumbua kwenye miguu ngozi zinabanduka!
Naombeni Msaada kwa aanyejua kuhusu hili tatizo
Hali ya fungus za sehemu za siri imenitesa kwa mda mrefuuu sana.
Nimeenda hospital zaidi ya 4 unapewa tu dawa ukatumie pasipo vipimo!
Ukishatumia unakaa kama mwezi wanapotea alafu wanarudi tena.
Sasa hivi wameanza kunisumbua kwenye miguu ngozi zinabanduka!
Naombeni Msaada kwa aanyejua kuhusu hili tatizo