kibhopile
JF-Expert Member
- Aug 5, 2010
- 1,513
- 765
Habari wanajamvi!
Naomba kusaidiwa jina la dawa sahihi ya fungus zinazobandua miguu, nimewahi kutumia dawa inaitwa mycota spray ziliisha but baada ya wiki 3, zimerudi na speed ile ile, so naomba mchango wenu wa mawazo.
Hali hii inanikera sana coz sioni raha ya kuvaa sandals.
Naomba kusaidiwa jina la dawa sahihi ya fungus zinazobandua miguu, nimewahi kutumia dawa inaitwa mycota spray ziliisha but baada ya wiki 3, zimerudi na speed ile ile, so naomba mchango wenu wa mawazo.
Hali hii inanikera sana coz sioni raha ya kuvaa sandals.