Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Oi eti dawa ya fungus mapumbuni ni ipi
Unakula kila siku asubuhi kabla ya kula kitu kwa muda wa siku 7. ukisha maliza kula unatakiwa ukae kwa muda wa saa nzima pasipo na kula kitu baada ya saa moja kupita waweza kuala chakula. Kwa Mwanamke mwenye mimba asile pasipo na ushauri wangu kuniuliza au mtu mwenye Presha ya kushuka akisha kula kitunguu Saumu anywe pamoja na kahawa ili kuipandisha presha ya kushuka kwa sababu kitunguu Saumu kinashusha Presha ya kupanda.
Tafuta "Neem Oil"Oi eti dawa ya fungus mapumbuni ni ipi