Funny and Crazy Mugabe quotes that will leave you rolling on the ground with laughter

Hiyo misemo mnayo mba mbikia Mugabe ni kumuongezea laana tu huyo mzee
 
'Wee kama mbaya ni mbaya tu usitwambie uzuri wako wa ndani maana hatutembei na X-ray'
JF kuna vituko. Sikudhan kabisa nilipoanzisha huu uz nitakutana na hiv vit. Dah mbav zinauma
 
Kuoa mwanamke mzur ni kama kuwa na shamba la miwa karibu na shule

Mugabe
 
Una sura mbaya hadi shetani alipokuona akasema yesu kristo na kuzimia.

Mugabe 2009
 
Watu wanatunga maneno halafu wanamsingizia Mugabe. Asilimia kubwa ya hiyo 'misemo' ni ya kutunga.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
How about Men who sucks pu**ies??can you tell us were did they learn[emoji57] [emoji57]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…