Teh..Pole mkuu..Kadai pesa yakoYamenikuta Jana mkuu.....wacha tuuu
Hahaha, poa.Mwalimu wa sarufi habari yako? kamusi yangu imeshindwa kunipa maana ya "ulimaanishs" na hiyo "ni msamiati nisiojua?" sijajua ulitaka nani akujibie! Mwalimu wa sarufi kuwa makini wakati unawarekebisha wanafunzi wako, aksante.
Hahahaha, mkuu hii ni ya Mugabe kweli? Halafu haya maneno huwa anayazungumza wakati akiwa na nani?When using your towel use it with care cause the part you dried your buttoks with today will dry your face tomorrow.
Ya hapa kwetu, husipokubali kuliwa na wewe hauli.. JkMtuwekee na misemo ya hapa kwetu kwa hawamu mojawapo mh!!