Funny and Crazy Mugabe quotes that will leave you rolling on the ground with laughter

Funny and Crazy Mugabe quotes that will leave you rolling on the ground with laughter

South Africans will kick down a statue of a
dead white man but won’t even attempt
to slap a live one. Yet they can stone to
death a black man simply because he’s a
foreigner

Pres. Robert Gabriel Mugabe
 
Misemo ya mugabe haina busara. Ni ya mtu aiyechoka,mwenye kisasi,aliyeishiwa mawazo,mchovu,mbinafsi,mchekeshaji,muigizaji n.k zimbabwe inafanya nini kwa wananchi wake? Wananchi wake wanashida sana. Siungi ndoa za mashoga na sitokuja kuunga mkono hata niwekewe mabomu mwilini. But tatizo la zimbabwe si ndoa za mashoga tu. Uchumi wa zimbawe upo vibaya. Asimamie kuinua uchumi. Nchi yake imejaa mafisadi pia. Akili yake mzee imechoka alipaswa kupumzika. But ametenda mabaya mengi hawez achia nchi akiwa hai.
Our economy is a hundred times better,
than the average African economy.
Outside South Africa, what country is
[as good as] Zimbabwe? ... What is
lacking now are goods on the shelves-
that is all.
.

~Robert Mugabe
 
Me namuunga mkono hasa kwenye vijembe vyake kwa wazungu na sera zao na huyu ndo size ya Trump,lakini upuuzi wa kuharibu uchumi,demokrasia na uchu wa madaraka ni hasara kwa wazimbabwe.kazeeka akili wewe cheki anavyotukana wanawake na kuseka eti wao sio wajinga wanafahamu kua jua ni la moto kwa hiyo wataenda usiku,sijui kaongea nini hapa
 
Women think they do hard work when handling their periods, But they forget that hiding an erect penis in public is the most difficult work.~Robert Mugabe
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Me namuunga mkono hasa kwenye vijembe vyake kwa wazungu na sera zao na huyu ndo size ya Trump,lakini upuuzi wa kuharibu uchumi,demokrasia na uchu wa madaraka ni hasara kwa wazimbabwe.kazeeka akili wewe cheki anavyotukana wanawake na kuseka eti wao sio wajinga wanafahamu kua jua ni la moto kwa hiyo wataenda usiku,sijui kaongea nini hapa
Weka hiyo nukuu tuisome.
 
"We ask, was he born out of
homosexuality? We need continuity in our race,
and that comes from the woman, and no to
homosexuality. John and John, no; Maria and
Maria, no. They are worse than dogs and pigs. I
keep pigs and the male pig knows the female
one.”

Pres. Robert Gabriel Mugabe
 
“Those people of East Africa shock me with
their wizardry in stealing. Sometimes I tend
to believe that stealing is in every Kenyan’s
blood. These people go to their schools and
read good courses but they qualify as the best
thieves. You can even think that there is a
subject in their universities called Bachelor
of Stealing. Whenever they get an
opportunity as employees, they never
disappoint. They steal enough money to buy
their freedom because even the judges who
listen to their cases are financially powerless.
I urge you my people to be on high alert in
case you by bad luck, happen to visit that
East African nation. They might infect you
with that disease and we don’t want it here.
Zimbabweans are honest people who love
their country and don’t want such stealing
tendencies
. ”

~Robert Mugabe.
 
Back
Top Bottom