Allah ampe afya njema,wamebaki watu wachache sana wa aina ya Jussatayari mkuu, amekua akiendesha hivi vipindi kwa karibu mwezi wa pili sasa
Title ya kitabu imenakiliwa kutoka kitabu cha mwandishi Lincoln SteffensKwa kweli hichi kipindi kimekua ni cha kuvutia sana tokea nilipoanza kukifuatilia, ndugu Ismail Jussa amekua akichambua vitabu mbali mbali vya kisiasa, kuna mengi ya kujifunza ndani yake.
Erythrocyte TODAYS Shocker Mohamed Said Sky Eclat Marco Polo johnthebaptist bagamoyo Missile of the Nation imhotep Salary Slip OKW BOBAN SUNZU King Kong III Zanzibar-ASP Tate Mkuu Babati brazaj Pascal Mayalla Kijana wa jana
Kwa kweli hichi kipindi kimekua ni cha kuvutia sana tokea nilipoanza kukifuatilia, ndugu Ismail Jussa amekua akichambua vitabu mbali mbali vya kisiasa, kuna mengi ya kujifunza ndani yake.
Erythrocyte TODAYS Shocker Mohamed Said Sky Eclat Marco Polo johnthebaptist bagamoyo Missile of the Nation imhotep Salary Slip OKW BOBAN SUNZU King Kong III Zanzibar-ASP Tate Mkuu Babati brazaj Pascal Mayalla Kijana wa jana
Hii post ni kwa hao uliowatag tu??
Jussa anajitahidi, ila kitabu kimoja kwa kipindi kimoja muda hautoshi, content nyingi inaachwa bila kuguswa...
Waliokaribu na Mohammed Khelef wamshauri kila kitabu kiwe na vipindi at least viwili.