njaakalihatari
JF-Expert Member
- Feb 12, 2019
- 4,081
- 8,671
Jana wambeya na wasiotakia mema klabu bingwa tarajiwa ya Afrika yaani Yanga sc walifurahia sana taarifa kwamba CAf wamepost huko twitter wakisema team hiyo bora kabisa kwa viwango hapa afrika mashariki itaanzia round ya awali yaani preliminary round
Lawama zote zikaenda kwa msemaji msomi au ukipenda muite RAIS mtarajiwa wa yanga , profesa Manara kwa ile kauli, lakini ile ni kauli ya klabu na yeye akiwa msemaji alifikisha ujumbe kwa jamii
Kauli ya klabu inasimama palepale ,yanga ni bingwa wa Tanzania na ataanzia round ya kwanza siyo ya awali
Tetesi zilizopo ni kwamba kwenye press conference ya leo saa sita ,msomi huyo mwenye degree ya media toka south africa na degee ya siasa toka china atafafanua kwa urefu issue hiyo ya CAF na kina nani wako nyuma ya zengwe hilo kuinyima nafasi yanga ili kuipendelea team mbovu iliyoko katika mgogoro baada ya kupigwa bao la mwaka na fei toto
Lawama zote zikaenda kwa msemaji msomi au ukipenda muite RAIS mtarajiwa wa yanga , profesa Manara kwa ile kauli, lakini ile ni kauli ya klabu na yeye akiwa msemaji alifikisha ujumbe kwa jamii
Kauli ya klabu inasimama palepale ,yanga ni bingwa wa Tanzania na ataanzia round ya kwanza siyo ya awali
Tetesi zilizopo ni kwamba kwenye press conference ya leo saa sita ,msomi huyo mwenye degree ya media toka south africa na degee ya siasa toka china atafafanua kwa urefu issue hiyo ya CAF na kina nani wako nyuma ya zengwe hilo kuinyima nafasi yanga ili kuipendelea team mbovu iliyoko katika mgogoro baada ya kupigwa bao la mwaka na fei toto