Birds in bush
Member
- Sep 15, 2013
- 42
- 23
Ndg wanaJF. Naomba mnijuze muundo was serikali mbili zilizoboreshwa ambazo serikali yetu inazipigia chapuo. Nimefuatilia mapendekezo hayo ila sijawahi kuona popote namna muudno huo utakavyokuwa. Huenda ukawa mzuri na ni muda muaafaka kwa watanzania kuujua na kuona faida zake zitakuwaje. Wasiwasi wangu ninaouna hapa huenda muundo huu ukawapendelea zaidi wazanzibari ili kuwanyamazisha na hapo kuwanyima haki watanganyika. Tujadili na mwenye fununu atujuze.