Kibumbula
JF-Expert Member
- Mar 26, 2018
- 3,683
- 3,349
Wanabodi habarini za hapa jukwaani.Kuna taarifa inasambaa sana kwenye magroup ya majukwaa mbalimbali ya mitandao ya kijamii.Taarifa inahusiana na maombi ya kazi ya sensa.
Ukiingia kwenye hiyo link ambayo wameweka na kujisajiri mwishoni kuna hela ambayo unalipia ili kukamilisha usajiri ambayo ni 350tsh.Pia unaweza kupewa control number ambayo wanasema unaweza kulipia kwenye ofisi zao mkoani au wilayani.
Ajabu ni kwamba hiyo namba ya simu unayolipia inakuja kwa jina Raphael Mtafya.
Wanabodi,kuna ukweli wa hayo maombi kweli?Mbona ukienda kwenye website ya Sensa na Tamisemi hakuna hiyo taarifa?
Wanabodi,ninaomba ukweli wa taarifa hiyo.Ahsanteni.
Ukiingia kwenye hiyo link ambayo wameweka na kujisajiri mwishoni kuna hela ambayo unalipia ili kukamilisha usajiri ambayo ni 350tsh.Pia unaweza kupewa control number ambayo wanasema unaweza kulipia kwenye ofisi zao mkoani au wilayani.
Ajabu ni kwamba hiyo namba ya simu unayolipia inakuja kwa jina Raphael Mtafya.
Wanabodi,kuna ukweli wa hayo maombi kweli?Mbona ukienda kwenye website ya Sensa na Tamisemi hakuna hiyo taarifa?
Wanabodi,ninaomba ukweli wa taarifa hiyo.Ahsanteni.