Hamorapa akawa waziri wa Tamaduni Sanaa na MichezoNdo msije kushangaa 2040 Gigy Money akaja kuwa Rais wa kwanza mwanamke TZ,dunia duara.
labda siku ambayo atakayoweza kutamka neno "sasa"Hamorapa akawa waziri wa Tamaduni Sanaa na Michezo
Msaga sumu kipindi hicho atakua waziri wa kilimo na umwagiliajiHamorapa akawa waziri wa Tamaduni Sanaa na Michezo
Wanasema pesa alizikuta ni za babake. Spoon fed japo amefanikiwa kuziendeleza vizuri na kujenga brand yake mwenyewe. Hata urais wake unazidi kujipambanua kivyakeKipindi hicho alikuwa msaidizi kwenye masuala ya fedha lakini bado alikuwa ni tajiri kuliko Tyson.
Napenda sana historia ya Trump kwa jinsi alivyopambana mpaka kufikia hapo.
[emoji2] [emoji2] [emoji23] [emoji23]Hamorapa akawa waziri wa Tamaduni Sanaa na Michezo
Ndo msije kushangaa 2040 Gigy Money akaja kuwa Rais wa kwanza mwanamke TZ,dunia duara.
Are you Pumbuuu...Ndo msije kushangaa 2040 Gigy Money akaja kuwa Rais wa kwanza mwanamke TZ,dunia duara.
Mtu hata kuongea haweziHamorapa akawa waziri wa Tamaduni Sanaa na Michezo
Yaah iam Pumbu,are mata.ko?Are you Pumbuuu...
yule anayesema nyanganya mbona yuko magogonilabda siku ambayo atakayoweza kutamka neno "sasa"
Basi kama ni hivyo trump amtafutie hata kakitengo cha kuzunguka nyuma yakeKwenye hii picha ni Bondia Mkongwe Mike Tyson "Malik Abdul Aziz" akiwa na Rais wa Sasa wa Marekani - Trump! Ambapo UNAAMBIWA
Picha hii ilipigwa Mwaka 1988 kipindi hicho Mike Tyson akiwa amemuajiri Donald Trump Kama Msaidizi wake binafsi kwenye maswala ya fedha lakini leo hii Trump siyo mtumishi wa Tyson bali ni rais wake.View attachment 809665
Naaam nisahihi kabisa ".. wakati afande Sele anauma " AY alikuwa hatii mguu level zake "".. lakini sasa Hivi AY ana Pesa nyingi afande Sele hagusi hata Mara 1Ndo msije kushangaa 2040 Gigy Money akaja kuwa Rais wa kwanza mwanamke TZ,dunia duara.